Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Bila kupepesa macho shida ni wewe mwanamke! we mwanamke ndo una uwezo wa kutengeneza hiyo ndoa!Ewe mwanandoa ulichukua au utachukua hatua gani endapo.
Wewe na mwenzio mtafikia hatua ya kutoelewana ndani mmejaribu kuongea lakini hamna suluhu mwingine msaliti mwingine kusamehe nashindwa.
Mmefika hatua hata mnagawana vitanda, mmoja akisafir hata WK 3 bila kupigiana cm,
Tendo la ndoa hamnaKitu kidogo lazima mgombane japo sio ngum.
Kwenu kwa mwezi mnaweza cheka labda siku 5 tu zingine zote hamuongei pamoja..mmoja akitoka mwingine anakua na furaha kuliko uwepo wa mwenzie.
-nimegundua ndoa nyingi kuyumba chanzo ni mwanamke!(yaani hata neno la Mungu lipo wazi)
Wanawake tumepewa huu uwezo wa kujenga na kubomoa!
-wewe hebu jishushe,usishindane na mwanaume!
Mtii,mheshimu,msikilize uone km hatabadirika!
Lkn pia unatakiwa uombe! Lkn kuomba bila kutimiza wajibu hakuna maana Mungu sio mjinga,timiza wajibu wako then omba!
Shida ya wanawake wengi mnataka tu kuitwa mke ila hamtaki kukaa Kwenye nafasi km inavyotakiwa!
-we mwanamke nafasi hizi 4,usipokaa nazo vzr ndoa yako itakuwa majanga,na itakufa..√mke√mama√mlinzi√msaidizi
-Wengi mmekaa nafasi ya mke na mama, hizo mbili ambazo ndo mhimu na zimebeba kila kitu mmeacha na ndo shida inapoanzia!
-wanawake wa sikuhizi kutwa kulalamika,majukumu ya mke hatufanyi ndo maana wanaume wanatafuta amani nje huko!(sio wote ila wengi )
-ss akikutana na ushirikina huko ndoa huna.
-ndoa ni jambo la kiroho kwanza kabla halijawa la kimwili!
-wanaume wengi wasaidizi wao ni michepuko,! ndio,sbb ndo anaambiwa mambo mengi mpk ya miradi na ndo mshauri unategemea nn? We unabaki tu km mke hapo!jmn tubadirikeee!
-yaani km kuna kitu nimejifunza ni kugombana na mume halafu kumnyima ni kumtuma tu nje!
Ila sikuzote nasema inategemea hiyo ndoa uliipataje,km ilikuja tu,easy come easy go!