Ni heri nitoke jf

Duu mi nilishaanza kuzoea make kuna cku walinipa mpaka nikatamani kujfcha wakati hta hawanijui pole dadaduu
 
pole sana sister! lakini pamoja na yote juwa kuwa kukimbia changamoto siyo suluhu yake! kama unahakika na michango yako na pia wajiamini sitarajii kama utakimbia JF! nahisi "SELF ESTEEM" yako iko juu sana.. nashauri uendelee kuimaintain! am very junior in JF, lakini niliwai kupost thread yangu, ukatoa michango mizuri sana! so we still need you on your will!
 


na we ongea mambo ya maana. Kwani kuwa mgeni jf ndo kutojua kuchangia yanayoongelewa? Mponde kwa post zake siyo ugeni wake... Hata we ulikuwa mgeni.
 
yanini malumbano, yanini manenooo.. by 20%

:A S 103:byeeeeeeeeeeee
 
Hivi huyu mtu ameshaondoka au amebadili ID?
 
Namtafuta mume wake NE nimpe Tuzo, help please!
 
Binti,
Mimi ningekuomba tu uendelee, sikubembelezi kwa kuwa sina sababu ya kufanya hivyo, katika jamii hii (virtual community) ikiwa huwezi kuishi na watu, unawezaje kuishi nao huko uliko?
 

Wewe mdada umejiunga Desemba 2010 na kumwanga manyanga Februari 2011, naona hata ukiolewa ndo yako haitadumu; na kama umeolewa basi lisemwalo laja. JF kipimo cha uvumilivu.
 
Ili kukamilisha ndoto yako iwe kweli mtumie msg Max au Invisibo wakupige BAN ya MILELE
Tulikupenda sana, lakin naona Muumba kakupenda zaidi
Tutakukumbuka daima
Pumziko la Milele
πŸ˜›oaπŸ˜›oaπŸ˜›oaπŸ˜›oa

Yaani wewe CPU.... ...:laugh::laugh::laugh::laugh:. Asante kwa kubadilisha avatar yako!
 
Hivi ndivyo Ma-great tinkers walivyo khe lhe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee angalia hapa chini baadhi ya michango yako.


































kila lakheri.

NiMEKUBALI CV HAISOMI VIZUR! NadhANI HAJAISAIDIA XANA JAMII KAMA TUNAVYOLENGA!!
 
Not Enough sio vizuri kukimbia sababu tu watu wana comment vibaya post zako za kizushi.... sasa kama unaanziasha thread za kipuuzi ulitegemea watu wa comment vizuri, acha utoto au mr. kaamua kutokomea kabisa nini!!! Pole sana kwa yote yaliyokusibu lakini tutakosa sana thread zako za kip**zii... RIP dear Not Enough
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…