Ni huduma gani nchini haijajaa malalamiko ambayo tunaweza kusema kwa 90% serikali imetenda?

Ni huduma gani nchini haijajaa malalamiko ambayo tunaweza kusema kwa 90% serikali imetenda?

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Ni huduma gani ambayo tunaweza kusema kwa 90% na kuendelea kuwa serikali imetimiza? Yaani hata mtu akilalamika tutasema hapa ni roho mbaya tu ya watu kulalamika lakini huduma ni nzuri?

Si kwa huduma za 'bure' wala ambazo tunachangia ambazo zimefanywa kwa ufanisi. Kote kumejaa makando kando lukuki.

Na hii yote inatokana na rushwa, kila mradi 10% zinakatwa, bado hujahonga mpaka mlinzi kuhakikisha unapata tenda, na Rais Samia ulishabariki hili ulipowaambia wale kwa urefu wa kamba zao. Ndio maana hata hawajali wananchi wanapata huduma gani.

Halafu mnataka tuwaonee huruma watu kama Chalamila ambao wote ni mnyororo huo huo unafanya huduma ziko mbaya kila sehemu?

Ni huduma gani ya bure inatolewa kwa ufanisi tuseme hapa wananchi tupunguzie mzigo serikali kwa kuchangia kiasi fulani cha pesa tupate huduma nzuri?

Kuna watu wanapiga billions of money na hawachukuliwi hatua halafu mnakuja kushupaza shingo na kusema wajawazito wanatakiwa kulipia huduma, shame kabisa nyinyi.
 
Wakuu,

Ni huduma gani ambayo tunaweza kusema kwa 90% na kuendelea kuwa serikali imetimiza? Yaani hata mtu akilalamika tutasema hapa ni roho mbaya tu ya watu kulalamika lakini huduma ni nzuri?

Si kwa huduma za 'bure' wala ambazo tunachangia ambazo zimefanywa kwa ufanisi. Kote kumejaa makando kando lukuki.

Na hii yote inatokana na rushwa, kila mradi 10% zinakatwa, bado hujahonga mpaka mlinzi kuhakikisha unapata tenda, na Rais Samia ulishabariki hili ulipowaambia wale kwa urefu wa kamba zao. Ndio maana hata hawajali wananchi wanapata huduma gani.

Halafu mnataka tuwaonee huruma watu kama Chalamila ambao wote ni mnyororo huo huo unafanya huduma ziko mbaya kila sehemu?

Ni huduma gani ya bure inatolewa kwa ufanisi tuseme hapa wananchi tupunguzie mzigo serikali kwa kuchangia kiasi fulani cha pesa tupate huduma nzuri?

Kuna watu wanapiga billions of money na hawachukuliwi hatua halafu mnakuja kushupaza shingo na kusema wajawazito wanatakiwa kulipia huduma, shame kabisa nyinyi.
Kama ni kwa taasisi basi CCBRT ipo poa sana nisiwe muongo
 
Wakuu,

Ni huduma gani ambayo tunaweza kusema kwa 90% na kuendelea kuwa serikali imetimiza? Yaani hata mtu akilalamika tutasema hapa ni roho mbaya tu ya watu kulalamika lakini huduma ni nzuri?

Si kwa huduma za 'bure' wala ambazo tunachangia ambazo zimefanywa kwa ufanisi. Kote kumejaa makando kando lukuki.

Na hii yote inatokana na rushwa, kila mradi 10% zinakatwa, bado hujahonga mpaka mlinzi kuhakikisha unapata tenda, na Rais Samia ulishabariki hili ulipowaambia wale kwa urefu wa kamba zao. Ndio maana hata hawajali wananchi wanapata huduma gani.

Halafu mnataka tuwaonee huruma watu kama Chalamila ambao wote ni mnyororo huo huo unafanya huduma ziko mbaya kila sehemu?

Ni huduma gani ya bure inatolewa kwa ufanisi tuseme hapa wananchi tupunguzie mzigo serikali kwa kuchangia kiasi fulani cha pesa tupate huduma nzuri?

Kuna watu wanapiga billions of money na hawachukuliwi hatua halafu mnakuja kushupaza shingo na kusema wajawazito wanatakiwa kulipia huduma, shame kabisa nyinyi.
Usambazaji wa umeme vijijin!!
 
Back
Top Bottom