Ni huduma gani nchini haijajaa malalamiko ambayo tunaweza kusema kwa 90% serikali imetenda?

Kwa hili naipongeza serikali na aliyekuja na ishu ya REA
Chanzo cha REA ni changamoto zilizojitokeza wakati wa utekelezaji wa Millennium Development Goals. Changamoto hizo zikapelekea kuanzisha mfuko wa Millennium Challenge Account. Zote ni akili za wazungu.
 
Lucas Mwashambwa akiulizwa hili swali kwanza atalia, yani machozi yatabubujika, kisha atayafuta na shati lake la kijani.... Halafu sasa ataanza kummwagia mama sifa zisizo na mwisho.
 
Goli la mama, hela hailali mzigo unakuwa uwanjani kabisa.
 
Hii ni kweli kabisa, tuko vizuri sana hapa kiasi kwamba hakuna fisadi anayedakwa hata mmoja😂😂😂🤣
Wadake ufisadi je chadema watadakwa na nani tuna maviongoz takataka kbs yan chadema ndo adui si ufisadi ujinga na umaskini
 

GePG
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…