Ni hujuma kwa nchi za Kiarabu katika AfCON hii

Ni hujuma kwa nchi za Kiarabu katika AfCON hii

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.

Si sawa kuna msaada kutoka 👆 juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?

South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.

Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
 
Tumeelewa lengo la uzi wako. Kwanza mpora ni dhambi na allah haupendi ndio maana karuhusu timu za watu wake zitolewe.
Bwege kweli wewe. So watu wake hawajui dhambi? Na hao watu wake kaanza kuwafahamu lini? Usilelete upuuzi wako hapa allah. Uandike kwa akili dogo. Nyie ndo mnaharibu taswira ya nchi hizi.
 
Kila zama na nabii wake bahna wacha watolewe kwani sisi hatutaki hilo kombe? uoni na sisi tumeanza kuamka tumepatemo pointi 2 bahna? Wapumzike na wengine wapate faida ya kushiriki sio kuwa wasindikizaji tu.
 
Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.

Si sawa kuna msaada kutoka 👆 juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?

South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.

Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
Hivi mchezo wa mpira mtume aliuruhusu? Sio kitendo cha ukafiri?, astaghafirahi.
 
Picha hii inasema tu hivi hio ya jana sio mara ya kwanza Morocco kupigwa na South..Hii game ilikua ni ya qualification alipigiwa mpira Morocco hafi akaomba poo na ilikua full mkoko
Screenshot_20240131-080348_FotMob.jpg
 
Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.

Si sawa kuna msaada kutoka [emoji115] juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?

South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.

Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
Kama hujui mpira, utaona ni hujuma.

Never Prejudge Football; is the most complex game ever.
 
Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.

Si sawa kuna msaada kutoka 👆 juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?

South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.

Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
Sasa,sasa wewe unakuaje chizi halafu hauna maarifa?Morroco walituambia wao ni "ma-Ulayaulaya" mtupu! Wamekutana "bundesafrikaan",kiatu mtu"!
 
Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.

Si sawa kuna msaada kutoka 👆 juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?

South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.

Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
Wewe ni muumini wa ile dini ya mnyaanzi nini? Maana mnamwonaga mwarabu kama ni malaika au mtu mwenye akili Sana kumbe ni kilaza tuu. Si ni huyu Morocco as lipata mafanikio kidogo kombe la dunia akawageuka waafrika wote na kuanza kusema kilichompa mafanikio ni uarabu na uislam ? Waafrika wslivyorudi kuwashtaki kwa mababu sekunde walitolewa
 
Anashabikia watu ambao hawataki kuitwa waafrika, pili mpira wao ilikuwa wa janja janja Sana tulikuwa kama tunawaabudu na la mwisho kiwango Cha waarabu ni Cha kawaida, wametuzidi kwa baadhi ya mchezaji mmoja mmoja
 
Back
Top Bottom