NI Imani potofu kuhubiri kuwa kanisa limekufa Yesu hakuhubiri kuwa Lazaro kafa.akizunguka nchi nzima alimfumfua

NI Imani potofu kuhubiri kuwa kanisa limekufa Yesu hakuhubiri kuwa Lazaro kafa.akizunguka nchi nzima alimfumfua

Shotocan

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2023
Posts
6,650
Reaction score
12,711
Kuna changamo kwa kanisa sasa hivi kuna wahubiri huhubiri kuwa kanisa limekufa

Mfu hasikii sauti yeyote kinachotakiwa ni hao wahubiri kuwa na nguvu ya kufufua

Fikiria Yesu angekuwa anazurura uyahudi yote na samaria akihubiri kuwa Lazaro kafa

Mchungaji Magembe ajitathimini mahubiri yake
 
Kuna changamo kwa kanisa sasa hivi kuna wahubiri huhubiri kuwa kanisa limekufa

Mfu hasikii sauti yeyote kinachotakiwa ni hao wahubiri kuwa na nguvu ya kufufua

Fikiria Yesu angekuwa anazurura uyahudi yote na samaria akihubiri kuwa Lazaro kafa

Mchungaji Magembe ajitathimini mahubiri yake
Si vema kusema vibaya fikiria mtu uko ndani ya familia halafu unaiambia familia yangu hii hawana akili sasa kama familia haina akili maana yake na wewe ni mmoja wapo,Yuda alimsaliti Yesu lkn hakuna mahali Yesu aliwahi sema huyu si mwanafunzi wangu alikaa nae kwa kuona huenda atabadilika.
 
Si vema kusema vibaya fikiria mtu uko ndani ya familia halafu unaiambia familia yangu hii hawana akili sasa kama familia haina akili maana yake na wewe ni mmoja wapo,Yuda alimsaliti Yesu lkn hakuna mahali Yesu aliwahi sema huyu si mwanafunzi wangu alikaa nae kwa kuona huenda atabadilika.
Uko sahihi

Familia ni DNA

Yuda Iscariote Yesu alimvumilia kuwa atabadilika lakini yeye kwa hiari yake akiamua kujinyonga mwenyewe

Yesuhakuhusika na kifo chake

Yesu alikuwa mvumilivu mno alimvumilia hadi Petro hebu fikiria jitu kama Petro limeokoka bado lilikuwa na tabia za kipagani linatembea na kisu kama masai eti baunsa la kumlinda Yesu wakipojaribu kumvamia Yesu likatoa kisu likakata sikio la mtu.Yesu akarudisha lile sikio

Mchungaji Magembe TAG kwa kweli wamejitahidi mno kumvumvilia tena mno hongera kwa Askofu mkuu na maaskofu wa majimbo walijitahidi sana

Hadi kaamua kuondoka mwenyewe TAG kama Yesu alivyofanya hakumfukuza Yuda Iskariote wala Petro

Petro alibaki na Yesu na madhaifu yake Yuda Iscariote akaamua kujiua

Mchungaji Magembe kajitoa mwenyewe kanisa la TAG lisilaumiwe.
Ila binafsi naaamini kuwa hatua aliyochukua Magembe haiko sahihi kabisa mia kwa mia

Namwangalia binafsi kama mtu anayejiinua yeye kama yeye badala ya kusubiri Mungu amuinue kwa nafasi juu za kanisa

Hiyo tabia sio nzuri ilimudondosha Lucifer Mbinguni akatupwa chini na Mungu mwenyewe baada ya kujiona bora kuliko bosi wake Mungu

Mlio karibu naye kemeeni mapepo ya kujiinua yaliyo mvamia Magembe

TAG Magembe angekuwa mnyenyekevu akisubiri Mungu amwinue angekuja kuwa hata Askofu wa TAG Tanzania au duniani lakini anasumbuliwa na roho chafu ya kujiinua badala ya kuwa mnyenyekevu akisuburi Mungu amuinue anakaa tu kudharau walio juu yake kuna roho ya Lucifer imemvamia kuwa yeye ndie astahili kuwa juu
 
Hamtaki kuambiwa ukweli

Kwasasa makanisa na madhehebu yote Hadi kwenye uislamu Shetani ameshaingia , mafundisho ya kipagani yametawala

Alama za kipagani zimetawala , ule moto na nguvu ya roho mtakatifu hakuna Tena

Matapeli ndio wame take advantage wanafungua viringe vya kuuza mafuta ,maji, chumvi, vitambaa,n.k

Sadaka ndio zimekuwa kitega uchumi chenu ,Kuna sadaka za aina Hadi 10

Mahubiri ya kugusa hayapo Tena , siku hizi 90% ya mikutano ya injili ni Disco mnaita la Yesu ,mnaka mauno kama kina Asha baraka ,

5% mnakusanya Sadaka

5% ndio mahubiri Tena mnaparaza tu

Kwasisi wachambuzi wa maswala ya dini ,tunajua kinachoendelea kwenye makanisa ,misikiti na madhehebu yote kilishasemwa katika SATANIC LAW OF FIVE

Mchungaji Maghembe alikuwa mapema kweli na alidhamiria kurejesha palipobomoka ,lakini mmemfanyia figisu
 
Uko sahihi

Familia ni DNA

Yuda Iscariote Yesu alimvumilia kuwa atabadilika lakini yeye kwa hiari yake akiamua kujinyonga mwenyewe

Yesuhakuhusika na kifo chake

Yesu alikuwa mvumilivu mno alimvumilia hadi Petro hebu fikiria jitu kama Petro limeokoka bado lilikuwa na tabia za kipagani linatembea na kisu kama masai eti baunsa la kumlinda Yesu wakipojaribu kumvamia Yesu likatoa kisu likakata sikio la mtu.Yesu akarudisha lile sikio

Mchungaji Magembe TAG kwa kweli wamejitahidi mno kumvumvilia tena mno hongera kwa Askofu mkuu na maaskofu wa majimbo walijitahidi sana

Hadi kaamua kuondoka mwenyewe TAG kama Yesu alivyofanya hakumfukuza Yuda Iskariote wala Petro

Petro alibaki na Yesu na madhaifu yake Yuda Iscariote akaamua kujiua

Mchungaji Magembe kajitoa mwenyewe kanisa la TAG lisilaumiwe.
Ila binafsi naaamini kuwa hatua aliyochukua Magembe haiko sahihi kabisa mia kwa mia

Namwangalia binafsi kama mtu anayejiinua yeye kama yeye badala ya kusubiri Mungu amuinue kwa nafasi juu za kanisa

Hiyo tabia sio nzuri ilimudondosha Lucifer Mbinguni akatupwa chini na Mungu mwenyewe baada ya kujiona bora kuliko bosi wake Mungu

Mlio karibu naye kemeeni mapepo ya kujiinua yaliyo mvamia Magembe

TAG Magembe angekuwa mnyenyekevu akisubiri Mungu amwinue angekuja kuwa hata Askofu wa TAG Tanzania au duniani lakini anasumbuliwa na roho chafu ya kujiinua badala ya kuwa mnyenyekevu akisuburi Mungu amuinue anakaa tu kudharau walio juu yake kuna roho ya Lucifer imemvamia kuwa yeye ndie astahili kuwa juu
Makanisa na madhehebu ya Leo hamtaki kuambiwa ukweli hamtaki kurekebishwa

Makanisa yameshaingiliwa na Shetani

Mmejaza mafundisho ya uongo ,wakijitokeza watu kupinga mnawaona wasaliti na waasi
 
Kuna changamo kwa kanisa sasa hivi kuna wahubiri huhubiri kuwa kanisa limekufa

Mfu hasikii sauti yeyote kinachotakiwa ni hao wahubiri kuwa na nguvu ya kufufua

Fikiria Yesu angekuwa anazurura uyahudi yote na samaria akihubiri kuwa Lazaro kafa

Mchungaji Magembe ajitathimini mahubiri yake
Ukiangalia hali ya makanisa ya Yesu Kristo ni mbaya kwa kweli.
Staili za kidunia kuingia makanisani, Wakristo kuimba miziki ya dunia na kuiga mitindo na mavazi ya kidunia , Usaliti na Talaka kwenye ndoa kushamiri, Mchungaji Maghembe alikuwa sahihi. Kanisa linahitaji matengenezo na kuhubiriwa Injili ya Utakatifu. Hii Injili ya "ni Mwaka wa kufunguliwa", hapana.
 
Hamtaki kuambiwa ukwel
Mchungaji Maghembe alikuwa mapema kweli na alidhamiria kurejesha palipobomoka ,lakini mmemfanyia figisu
Kurejesha palipomoka huhubiri ni vitendo

Mwambieni Magembe wenu asome historia zote za uamsho ukitokeaje iwe Azusa revival ,welsh revival,great awakening, nk hazikuja kwa mtu kupiga yowe madhabahuni kuwa kanisa limekufa liwe TAG au lolote

Ingiene hata mitandaoni msome uamsho ulikujaje kwenye nchi mbalimbali duniani haukuja kwa mipasho ya ooh kanisa limekufa

Narudia anachohubiri Magembe sio uamsho arudi darasani asome how revival came miaka huko nyuma kama hana vitabu aingie google

Uamsho sio kutukana kanisa au viongozi waliopo au wanakwaya wanavyoimba!!

Ajifunze kwa revivalists waliopita asibuni new version yake ya uamsho kuwa uamsho ni kuponda structure na uongozi ulipo na majina ya makanisa yaliyosajilwa kwa msajili wa nakanisa
 
Kurejesha palipomoka huhubiri ni vitendo

Mwambieni Magembe wenu asome historia zote za uamsho ukitokeaje iwe Azusa revival ,welsh revival,great awakening, nk hazikuja kwa mtu kupiga yowe madhabahuni kuwa kanisa limekufa liwe TAG au lolote

Ingiene hata mitandaoni msome uamsho ulikujaje kwenye nchi mbalimbali duniani haukuja kwa mipasho ya ooh kanisa limekufa

Narudia anachohubiri Magembe sio uamsho arudi darasani asome how revival came miaka huko nyuma kama hana vitabu aingie google

Uamsho sio kutukana kanisa au viongozi waliopo au wanakwaya wanavyoimba!!

Ajifunze kwa revivalists waliopita asibuni new version yake ya uamsho kuwa uamsho ni kuponda structure na uongozi ulipo na majina ya makanisa yaliyosajilwa kwa msajili wa nakanisa
Tatizo mmekariri uamsho mpaka watu wajazane ,uamsho unaanzia humo humo kanisani

Maghembe kusema kwake ukweli kumemponza ,kukemea dhambi kwa jina lake halisi hii umezini, umeiba,n.k hamtaki

Kama kanisa linakufa na hakuna wakusema mbategemea nini
 
Kuna changamo kwa kanisa sasa hivi kuna wahubiri huhubiri kuwa kanisa limekufa

Mfu hasikii sauti yeyote kinachotakiwa ni hao wahubiri kuwa na nguvu ya kufufua

Fikiria Yesu angekuwa anazurura uyahudi yote na samaria akihubiri kuwa Lazaro kafa

Mchungaji Magembe ajitathimini mahubiri yake

“Na kwa malaika wa kanisa lililoko Sardi andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye na hizo Roho saba za Mungu, na zile nyota saba. Nayajua matendo yako, ya kuwa una jina la kuwa hai, nawe umekufa."


— Ufunuo wa Yohana 3:1 (Biblia Takatifu)
 
Kuna changamo kwa kanisa sasa hivi kuna wahubiri huhubiri kuwa kanisa limekufa

Mfu hasikii sauti yeyote kinachotakiwa ni hao wahubiri kuwa na nguvu ya kufufua

Fikiria Yesu angekuwa anazurura uyahudi yote na samaria akihubiri kuwa Lazaro kafa

Mchungaji Magembe ajitathimini mahubiri yake
Acha u hater, watu tuna rudi kwa kasi kwenye dini zetu za Asili baada ya kugundua kuwa hizo dini zenu zukizoletwa na melikebu ndio dini kafiri na za kimchongo
 
Uko sahihi

Familia ni DNA

Yuda Iscariote Yesu alimvumilia kuwa atabadilika lakini yeye kwa hiari yake akiamua kujinyonga mwenyewe

Yesuhakuhusika na kifo chake

Yesu alikuwa mvumilivu mno alimvumilia hadi Petro hebu fikiria jitu kama Petro limeokoka bado lilikuwa na tabia za kipagani linatembea na kisu kama masai eti baunsa la kumlinda Yesu wakipojaribu kumvamia Yesu likatoa kisu likakata sikio la mtu.Yesu akarudisha lile sikio

Mchungaji Magembe TAG kwa kweli wamejitahidi mno kumvumvilia tena mno hongera kwa Askofu mkuu na maaskofu wa majimbo walijitahidi sana

Hadi kaamua kuondoka mwenyewe TAG kama Yesu alivyofanya hakumfukuza Yuda Iskariote wala Petro

Petro alibaki na Yesu na madhaifu yake Yuda Iscariote akaamua kujiua

Mchungaji Magembe kajitoa mwenyewe kanisa la TAG lisilaumiwe.
Ila binafsi naaamini kuwa hatua aliyochukua Magembe haiko sahihi kabisa mia kwa mia

Namwangalia binafsi kama mtu anayejiinua yeye kama yeye badala ya kusubiri Mungu amuinue kwa nafasi juu za kanisa

Hiyo tabia sio nzuri ilimudondosha Lucifer Mbinguni akatupwa chini na Mungu mwenyewe baada ya kujiona bora kuliko bosi wake Mungu

Mlio karibu naye kemeeni mapepo ya kujiinua yaliyo mvamia Magembe

TAG Magembe angekuwa mnyenyekevu akisubiri Mungu amwinue angekuja kuwa hata Askofu wa TAG Tanzania au duniani lakini anasumbuliwa na roho chafu ya kujiinua badala ya kuwa mnyenyekevu akisuburi Mungu amuinue anakaa tu kudharau walio juu yake kuna roho ya Lucifer imemvamia kuwa yeye ndie astahili kuwa juu
Nadhani hii aliifafanua kwamba kuna kanisa linaloonekana na kanisa lisiloonekana. Kanisa lisiloonekana haliwezi kufa, litabaki kuwa na masalia na wengine tayari wako mbinguni lakini kanisa linaloonekana kwa maana ya madhehebu yanaweza kufa kama yatashindwa kulifunua kanisa lisioonekana.

Magembe inasemekana aliwahi kukataa uaskofu miaka mingi iliyopita kwa hiyo hilo la kuwa askofu mkuu sidhani kama amewahi kuliwazia. Na umaarufu sio kwamba anautafuta ni vile unakuja automatically kutokana na misimamo yake kuonekana sio popular ingawa ndo misimamo ya wazee wa zamani wa kipentekoste.

Hata hivyo anaweza kuwa na madhaifu ya hapa na pale kama mwanadamu lakini sidhani kama wewe unamfahamu na unamvunjia heshima unaposema mapepo yamemvamia.
 
Kuna changamo kwa kanisa sasa hivi kuna wahubiri huhubiri kuwa kanisa limekufa

Mfu hasikii sauti yeyote kinachotakiwa ni hao wahubiri kuwa na nguvu ya kufufua

Fikiria Yesu angekuwa anazurura uyahudi yote na samaria akihubiri kuwa Lazaro kafa

Mchungaji Magembe ajitathimini mahubiri yake
Hujui lolote kuhusu mchakato wa imani kuwa potofu. After all Biblia inasema "Misingi ikiharibika mwenye haki atafanya nini"?

Wenye hekima wamekaa pembeni wanaangalia jinsi hali ilivyo alafu wanahitimisha kwa kusema "THESE ARE TWO SIDES OF THE SAME COIN" hata mbingu inafurahia aina hizi za kutokukubaliana maana kinachotafutwa ni UTAKATIFU kwa kundi kubwa.


Ingekuwa aibu kama migogoro hii inatokana na uzinzi au wizi, ila maadam ni mitazamo miwili ya kwenye familia moja, unapaswa kusikiliza zaidi kuliko kusema sema.

WAKE UP!
 
Ukiangalia hali ya makanisa ya Yesu Kristo ni mbaya kwa kweli.
Staili za kidunia kuingia makanisani, Wakristo kuimba miziki ya dunia na kuiga mitindo na mavazi ya kidunia , Usaliti na Talaka kwenye ndoa kushamiri, Mchungaji Maghembe alikuwa sahihi. Kanisa linahitaji matengenezo na kuhubiriwa Injili ya Utakatifu. Hii Injili ya "ni Mwaka wa kufunguliwa", hapana.
Mtoa mada anatumia mihemko zaidi ya akili, nashawishika kuamini kuwa labda ni Teen-ager
 
Shida hampendi kuambiwa ukweli kuwa kwa sasa walokole wamekua kama watu wa mataifa,mnapenda injili za mafanikio na ustawi..mnachukia ile injili ya kweli ya watu waache njia zao mbaya(dhambi).

Mch.Magembe kawapiga za kichwa sasa mmemtengenezea zengwe hadi kaamu kwachia kanisa lenu liliogeuka kilinge cha usasa na hakuna kukemea dhambi bali ni makusanyo ya sadaka na utapeli.
 
Back
Top Bottom