Ni ipi dini ya kweli kama huku wanafungamana na huyu mungu wa wafu na mlinda makaburi

Ni ipi dini ya kweli kama huku wanafungamana na huyu mungu wa wafu na mlinda makaburi

Nb: Zingatia neno "mungu" nimeandika kwa herufi ndogo hivyo haimaanishi Mungu.


Ndugu zangu hapa tutaona anubis akiwa na kiongozi mkuu wa dhehebu fulani la dini pamoja na anubis wengine kuvalia mrengo wa upande wa pili.

a)Maana ya anubis.

Anubis, ancient Egyptian god of funerary practices and care of the dead, represented by a jackal or the figure of a man with the head of a jackal.

b)Uwezo alionao

Anubis has power over death. He walks between worlds, protecting the dead and ushering them to the afterlife

c) Swali
Je, ni upi basi mtazamo wako kiimani kuhusu hizi dini tulizo nazo kwa kuzingatia anubis na yeye anapewa kipaumbele hapo?

Karibuni kwa mawazo yenu
Ibada ya kweli ni ngono. Ngono ni uhai. Enendeni mkajaze dunia tandazeni miti at will ni mimi nimewaamuru.
 
Shida yenu ninyi walaghai huwa mnataka viongozi wa dini kama huyu Pope Francis wawe wanatembelea walokole na wakatoliki tu hamjui kuwa kiongoz wa dini ni wakala wa MUNGU kwa ajili ya kuhubili neno la MUNGU kwa kila kiumbe

Ndo maana huyo papa hata misikitini huwa anaenda ili kulifikisha neno la MUNGU kwa watu wote

Neno la MUNGU lazima liwafikie watu wote waislam, wachawi, mashoga, mafisadi,vibaka, wasomi,wanasayansi na hata mizimu na wenye kulifikisha hilo neno ni watumishi wa MUNGU

Kwahiyo Sion kibaya hapo
Huyo Mungu Alishindwaje kufanya kila mwanadamu ajue neno lake pasipo kuhubiriwa na mwanadamu mwingine?

Huyo Mungu kwa nini afanye neno lake lifahamike na watu wachache tu?

Kisha hao watu wachache waanze kuhubiria wengine?

Hivi huyo Mungu wenu Anajielewa kweli?
 
Mpumbavu amesema moyoni mwake Kuna Mungu!
Kuamini kwamba uliota kama uyoga, kwamba hakuna aliyekuumba ni upumbavu wa hali ya juu! Kwamba tlitokeatokea tu!! Kwamba nguo uliyovaa ilitokeatokea tu! Hakuna aliyetumia muda, akili na nguvu zake ku'design' na kushona!! Ni upumbavu kufikiri hakuna aliyeishona hiyo nguo! Mpumbavu amesema moyoni mwake hakuna Mungu!! Pole kwa kupigwa kekundu na shetani! Wajinga ndiyo waliwao!
 
Kuamini kwamba uliota kama uyoga,
Mimi siamini kwenye kuamini. Sina imani ya aina yeyote ile.

Sihitaji kuamini, Nahitaji kujua kwa uthibitisho, uhakika na ushahidi.
kwamba hakuna aliyekuumba ni upumbavu wa hali ya juu!
Hakuna Mungu Aliyeumba chochote kile.

Huyo Mungu mmemtunga vichwani mwenu na kumuumba kwenye fikra zenu.

Ndio maana huwezi kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu zaidi ya imani zako uchwara ulizo aminishwa na kupumbazwa na dini yako.
Kwamba tlitokeatokea tu!! Kwamba nguo uliyovaa ilitokeatokea tu!
Na huyo Mungu alitokea tu?

Kama umeweza kuamini Mungu usiyemjua na wala huwezi kuthibitisha uwepo wake alitokea tu,

Unashindwaje kuelewa kwamba hata dunia ipo tu yenyewe pasipo kuumbwa?

Kwa nini unalazimisha kwamba dunia iliumbwa?
Hakuna aliyetumia muda, akili na nguvu zake ku'design' na kushona!!
Hakuna, Hayupo na hajawahi kuwepo yeyote yule aliye Design ulimwengu.

Kama unadai yupo, thibitisha uwepo wake na si imani zako uchwara tu.
Ni upumbavu kufikiri hakuna aliyeishona hiyo nguo! Mpumbavu amesema moyoni mwake hakuna Mungu!!
Mpumbavu amesema moyoni mwake kuna Mungu.

Kwa sababu una amini vitu usivyo na uthibitisho navyo.
Pole kwa kupigwa kekundu na shetani! Wajinga ndiyo waliwao!
Shetani hajawahi kuwepo na hayupo.

Huyo shetani mmemtunga vichwani mwenu na wala huwezi kuthibitisha uwepo wa huyo shetani.

Hakuna Mungu wala Shetani.
 
Huyo Mungu Alishindwaje kufanya kila mwanadamu ajue neno lake pasipo kuhubiriwa na mwanadamu mwingine?

Huyo Mungu kwa nini afanye neno lake lifahamike na watu wachache tu?

Kisha hao watu wachache waanze kuhubiria wengine?

Hivi huyo Mungu wenu Anajielewa kweli?
Maswali yako ni mazuri mtumish lakin hapo ulipotukana ndo ulipokosea

Usimtakane MUNGU maana hata yeye hajawahi kutukana licha ya kwamba amekuumba na wewe ni kiumbe wake
 
Maswali yako ni mazuri mtumish lakin hapo ulipotukana ndo ulipokosea

Usimtakane MUNGU maana hata yeye hajawahi kutukana licha ya kwamba amekuumba na wewe ni kiumbe wake
MUNGU Hajawahi kuwepo na hayupo.
 
Back
Top Bottom