Ni Ipi Heshima ya Mwanamke

Ni Ipi Heshima ya Mwanamke

Pile F

Senior Member
Joined
Aug 15, 2020
Posts
121
Reaction score
170
Ndugu Wanajamvi naamini mpo vyema wengine busy na mihangaiko Mola awawekee wepesi wengine pia salama kabisa, naenda kwenye mada mapema kabisa.

Wakati Kipindi cha kwanza kimeisha na wakati wa mapumziko Mechi ya Simba na Dodoma Jiji leo, tumeshangaa sana.

Tukiwa karibu wanaume 18 kwenye hii sehemu pamoja na wahudumu wa kike wawili na Dada mmoja mwenye mwanae mdogo mshabiki wa Yanga kindakindaki, pamekuwa na utulivu sana.

Pasipo kutegemea kumetokea kundi la wanawake watatu wakiwa na Jamaa mmoja wamekuja wanaongea sauti za juu mno mpaka wote tumekaa kimya kabisa.

Wanaowafahamu ambao ni wahusika wa hapa pia wamehusiana nao na nimeona ni kama wanakusanya pesa ya mlinzi nahisi ni viongozi wa Umma wa haya maeneo.

Mwanamke mmoja amevaa Kaptura na Vest nyekundu kama some men wa Kimarekani wavaavyo. Inasikitisha na funguo ya gari kaning'iniza kwenye loops za Kaptura.

Ana matusi sijawahi kuona. Guess ameongea nini bila aibu!! Hakuwa anagombana na mtu lakini ana Confidence ya juu sana na lugha yake ni mchanganyiko wa matusi mazito mno.

Ni matusi makubwa makubwa ambayo hata sisi Wanaume hatuwezi kuyazungumza hata iwe mahali panapostahili na sio rahisi hata hivo kuyazungumza.

Kinachotatiza Hawa watu mbona wamekuja kubadilika sana? Nini kimewapata wana wa kike?
 
Kwahiyo tupunguze confidence?🙄
Sidhani kama mna haja ya kupunguza.

Pale tunapokuwa na issue na nyinyi siku hizi ni kama vile ile intensity ya kuwaogopa imepanda vile hahaha wanaotoga bn!!

Mmetuzidi sana na haya mabadiliko yenu. Mtu unaweza kusutwa mpaka ukajuta kuzaliwa
 
ukubwa wa tusi inategemea umekulia wapi
Mkuu MO11 kuna matusi makubwa makubwa kila mahali lakini uelewa wa watu hufanya isiwe rahisi kuyatumia au kuyasikia
 
Mkuu MO11 kuna matusi makubwa makubwa kila mahali lakini uelewa wa watu hufanya isiwe rahisi kuyatumia au kuyasikia
Hujanielewa
kuna mahali ukitukana tusi lolote hakuna anayekushangaa
 
Hujanielewa
kuna mahali ukitukana tusi lolote hakuna anayekushangaa
Napata shida kukuelewa Mkuu

Lakini Tusi lolote halifai kutumiwa kama lugha ya kila siku mahali popote.

Matusi ni kama utani yapo selective sana. Ndio maana nitakubaliana kuwa hata Mzee Ndugai au Anna Makinda nao huwa wanamatusi na kule wanakotukana.

Tatizo ni pale matusi yanapotumika kirahisi halafu popote
 
Napata shida kukuelewa Mkuu

Lakini Tusi lolote halifai kutumiwa kama lugha ya kila siku mahali popote.

Matusi ni kama utani yapo selective sana. Ndio maana nitakubaliana kuwa hata Mzee Ndugai au Anna Makinda nao huwa wanamatusi na kule wanakotukana.

Tatizo ni pale matusi yanapotumika kirahisi halafu popote
endelea kupata shida mpaka ufe
 
Napata shida kukuelewa Mkuu

Lakini Tusi lolote halifai kutumiwa kama lugha ya kila siku mahali popote.

Matusi ni kama utani yapo selective sana. Ndio maana nitakubaliana kuwa hata Mzee Ndugai au Anna Makinda nao huwa wanamatusi na kule wanakotukana.

Tatizo ni pale matusi yanapotumika kirahisi halafu popote
Kwani tusi ni nini?
 
njoo ukae Mvuti mwezi mmoja, tu , matusi makubwa yote ni vivumishi tegemezi
 
njoo ukae Mvuti mwezi mmoja, tu , matusi makubwa yote ni vivumishi tegemezi
Turudi kwenye mada kaka,

Huko Mvuti hata mbele za Wanaume nao wanawake wanatumia hivyo vivumishi?
 
Ndugu Wanajamvi naamini mpo vyema wengine busy na mihangaiko Mola awawekee wepesi wengine pia salama kabisa, naenda kwenye mada mapema kabisa.

Wakati Kipindi cha kwanza kimeisha na wakati wa mapumziko Mechi ya Simba na Dodoma Jiji leo, tumeshangaa sana.

Tukiwa karibu wanaume 18 kwenye hii sehemu pamoja na wahudumu wa kike wawili na Dada mmoja mwenye mwanae mdogo mshabiki wa Yanga kindakindaki, pamekuwa na utulivu sana.

Pasipo kutegemea kumetokea kundi la wanawake watatu wakiwa na Jamaa mmoja wamekuja wanaongea sauti za juu mno mpaka wote tumekaa kimya kabisa.

Wanaowafahamu ambao ni wahusika wa hapa pia wamehusiana nao na nimeona ni kama wanakusanya pesa ya mlinzi nahisi ni viongozi wa Umma wa haya maeneo.

Mwanamke mmoja amevaa Kaptura na Vest nyekundu kama some men wa Kimarekani wavaavyo. Inasikitisha na funguo ya gari kaning'iniza kwenye loops za Kaptura.

Ana matusi sijawahi kuona. Guess ameongea nini bila aibu!! Hakuwa anagombana na mtu lakini ana Confidence ya juu sana na lugha yake ni mchanganyiko wa matusi mazito mno.

Ni matusi makubwa makubwa ambayo hata sisi Wanaume hatuwezi kuyazungumza hata iwe mahali panapostahili na sio rahisi hata hivo kuyazungumza.

Kinachotatiza Hawa watu mbona wamekuja kubadilika sana? Nini kimewapata wana wa kike?
Umekuja lini mjini kutoka bara
 
Back
Top Bottom