Ni Ipi Heshima ya Mwanamke

Ni Ipi Heshima ya Mwanamke

ukubwa wa tusi inategemea umekulia wapi
Naungana na wewe, kwetu ilikua kumwambia mwenzio unakiherehere ni tusi kubwa mno. Niliwahi kuambiwa mpumbavu, nililia sana nikaja nikakutana na watu wanatukana mpk mwili wote unasisimka na kutoka vile vipel vya barid kwa mshangao na watu hawashtuki
 
Naungana na wewe, kwetu ilikua kumwambia mwenzio unakiherehere ni tusi kubwa mno. Niliwahi kuambiwa mpumbavu, nililia sana nikaja nikakutana na watu wanatukana mpk mwili wote unasisimka na kutoka vile vipel vya barid kwa mshangao na watu hawashtuki
Kuna Mtu anasema Tusi la aina yoyote yeye mtukane akiwa peke yake atakufikiria, mkishakuwa watatu tu au zaidi basi Tusi halifai
 
Sio Betina huyo?
Ulimsikiaga betina akiimba Ile wimbo wa diamond wa nyegezi?
 
Sio Betina huyo?
Ulimsikiaga betina akiimba Ile wimbo wa diamond wa nyegezi?
Sijui kama Betina hakusoma mabango.

Ila Haimbi kwa kwa sauti hiyo Nyimbo mpaka umsogelee
 
Back
Top Bottom