Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Sasa hayo ndiyo matusi?Ukiambiwa uache uhanithi si unapaswa kuacha vitendo vya kihanithi tu?Au ukifukuzwa kikaoni si unarudi kwako kupumzika?Sasa tusi liko wapi?πππππNeno: Acha uhanithi
Kitendo: Kufukuzwa kikaoni
Mkuu,hakuna tusi duniani.Ni akili yako tu inavyokaa kupokea neno au kitendo.Utajizeesha kwa kulazimisha maneno au matendo fulani kuwa matusi.Relax!Kula ubwabwa wako kwa maharage.Furahia maisha na wananchi wenzako.ππππππHahaa kwani Mkuu asee!! Naomba Utuandikie mfano wa Tusi
Nimeuliza hivyo maana tuliokulia mwananyamala matusi ni kitu cha kawaida ,labda kama kuna tusi jipya ulisikia ambalo halijaingizwa kwenye kamusi useme sisi chama cha matusi tanzania tuliingize kwenye kamusiSipo mjini Kiongozi nipo huku sina kazi rasmi sana.
Vipi huko mjini naweza PATA gap? Nataman sana nipate issue ya maana Mkuu Mdukuzi
Tukiwa tupo chuo kuna Mwalimu alituambia hakuna maana yoyote kupata alama 95 au 100 wakati ukipata 75 wote mlipata A. Yaan wote sawaMkuu,hakuna tusi duniani.Ni akili yako tu inavyokaa kupokea neno au kitendo.Utajizeesha kwa kulazimisha maneno au matendo fulani kuwa matusi.Relax!Kula ubwabwa wako kwa maharage.Furahia maisha na wananchi wenzako.ππππππ
Mwalimu wako wakati anakufundisha ulipaswa na weye uchangamshe akili zako mbele,mbele yake!Using'ang'anize maneno au vitendo usivyovipenda au kukaririshwa tangu ukiwa mdogo kuwa ni matusi.Jipigepige kifuani na useme kwa sauti kubwa..."HAKUNA TUSI DUNIANI"...!πππππTukiwa tupo chuo kuna Mwalimu alituambia hakuna maana yoyote kupata alama 95 au 100 wakati ukipata 75 wote mlipata A. Yaan wote sawa
Sasa ukisema hakuna kitu Tusi unajaribu kusema hakuna wanaoteswa na tabia mbovu hasa za manyanyaso ya kauli.
Hapo nyuma kuliwahi kupamba moto sana mfumo dume, huu nao ili ufanye kazi kufoka na matusi ilikuwa kama Ganda la kiberiti na njiti.
Sasa niambie kweli aliyepata 98 anafananaje na anayepata 75? Akili nzima zinazovumilia matusi bado chache zikiongezeka matusi yatakuwa hayana tatizo Mkuu kama usemavyo
Mkuu Mdukuzi lisome Tena bandiko utakuja kuelewa baada ya siku 4Nimeuliza hivyo maana tuliokulia mwananyamala matusi ni kitu cha kawaida ,labda kama kuna tusi jipya ulisikia ambalo halijaingizwa kwenye kamusi useme sisi chama cha matusi tanzania tuliingize kwenye kamusi
Nimekuelewa ila ujue wanawake ndio wanaongoza kwa matusiMkuu Mdukuzi lisome Tena bandiko utakuja kuelewa baada ya siku 4
Kwa mwalinu kutoa kauli kama hii, haishangazi uelewa wa wahitimu wetu ulivyo chini ya viwango.Tukiwa tupo chuo kuna Mwalimu alituambia hakuna maana yoyote kupata alama 95 au 100 wakati ukipata 75 wote mlipata A. Yaan wote sawa
Sasa ukisema hakuna kitu Tusi unajaribu kusema hakuna wanaoteswa na tabia mbovu hasa za manyanyaso ya kauli.
Hapo nyuma kuliwahi kupamba moto sana mfumo dume, huu nao ili ufanye kazi kufoka na matusi ilikuwa kama Ganda la kiberiti na njiti.
Sasa niambie kweli aliyepata 98 anafananaje na anayepata 75? Akili nzima zinazovumilia matusi bado chache zikiongezeka matusi yatakuwa hayana tatizo Mkuu kama usemavyo
Mdomo ndio silaha ya mwanamkeWanakuwaga hawajiamini sijui!!?
Nimecheka sana.Mwalimu wako wakati anakufundisha ulipaswa na weye uchangamshe akili zako mbele,mbele yake!Using'ang'anize maneno au vitendo usivyovipenda au kukaririshwa tangu ukiwa mdogo kuwa ni matusi.Jipigepige kifuani na useme kwa sauti kubwa..."HAKUNA TUSI DUNIANI"...!πππππ
Malezi legelege tangu utoto wake ndio sababu kuu.Ndugu Wanajamvi naamini mpo vyema wengine busy na mihangaiko Mola awawekee wepesi wengine pia salama kabisa, naenda kwenye mada mapema kabisa.
Wakati Kipindi cha kwanza kimeisha na wakati wa mapumziko Mechi ya Simba na Dodoma Jiji leo, tumeshangaa sana.
Tukiwa karibu wanaume 18 kwenye hii sehemu pamoja na wahudumu wa kike wawili na Dada mmoja mwenye mwanae mdogo mshabiki wa Yanga kindakindaki, pamekuwa na utulivu sana.
Pasipo kutegemea kumetokea kundi la wanawake watatu wakiwa na Jamaa mmoja wamekuja wanaongea sauti za juu mno mpaka wote tumekaa kimya kabisa.
Wanaowafahamu ambao ni wahusika wa hapa pia wamehusiana nao na nimeona ni kama wanakusanya pesa ya mlinzi nahisi ni viongozi wa Umma wa haya maeneo.
Mwanamke mmoja amevaa Kaptura na Vest nyekundu kama some men wa Kimarekani wavaavyo. Inasikitisha na funguo ya gari kaning'iniza kwenye loops za Kaptura.
Ana matusi sijawahi kuona. Guess ameongea nini bila aibu!! Hakuwa anagombana na mtu lakini ana Confidence ya juu sana na lugha yake ni mchanganyiko wa matusi mazito mno.
Ni matusi makubwa makubwa ambayo hata sisi Wanaume hatuwezi kuyazungumza hata iwe mahali panapostahili na sio rahisi hata hivo kuyazungumza.
Kinachotatiza Hawa watu mbona wamekuja kubadilika sana? Nini kimewapata wana wa kike?
Ni sahihi Mkuu. Sijajua kama kuna kipimo kingine juu ya hilo la WahitimuKwa mwalinu kutoa kauli kama hii, haishangazi uelewa wa wahitimu wetu ulivyo chini ya viwango.
Vile vile kwa watu kuchukulia matusi ni lugha ya kawaida, haishangazi maadili ya hovyo yaliyomo kwenye jamii zetu.
Umechanganya madaHakuna Mkuu mbona refa kipindi cha kwanza hakumpa mtu kadi? Kuna waliokuja kuleta mbinu mbovu ndio maana hadi Kadi Nyekundu tunaona