Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No 1 na 2 vinaenda sambambaaa, coz kama sina nguvu za kiume hakuna haja kubwa ya kuteseka ili niwe na hela,kwani hela zitakuwa za nini sasa?Kitu gani kinakutisha zaidi ukiwa kama mwanaume ?
1.Ukosefu wa fedha
2.Ukosefu wa nguvu za kiume...
Ukosefu wa pesa,ukiwa nayo unafix hizo zoteKitu gani kinakutisha zaidi ukiwa kama mwanaume?
1. Ukosefu wa fedha...
Kukosa pesa (umasikin wa pesa unaweza kuzalisha hayo yote)Kitu gani kinakutisha zaidi ukiwa kama mwanaume?
1. Ukosefu wa fedha...
Wewe bado local sana mwenye pesa afumaniwi anakutwa😆😆Ukifumaniwa hata kama una pesa utakuwa mdogo kama piritoni, wajuba ndio wataamua nini cha kukufanya.
wanaume wa ukweli hatuna hofu ya chochote, labda hofu ya Mungu tuKitu gani kinakutisha zaidi ukiwa kama mwanaume?
1. Ukosefu wa fedha
2. Ukosefu wa nguvu za kiume
3. Kufumaniwa
4. Mkeo/mpenzi wako kuchepuka
Kitu gani kinakutisha zaidi ukiwa kama mwanaume?
1. Ukosefu wa fedha
2. Ukosefu wa nguvu za kiume
3. Kufumaniwa
4. Mkeo/mpenzi wako kuchepuka
Fedha ndo muhimu mengine yatafata yaani yatajiletaKitu gani kinakutisha zaidi ukiwa kama mwanaume?
1. Ukosefu wa fedha
2. Ukosefu wa nguvu za kiume
3. Kufumaniwa
4. Mkeo/mpenzi wako kuchepuka
Mwisho mzuri ni kuwa na hela 😂😂Mwisho mzuri kwako ni upi?
Kitu gani kinakutisha zaidi ukiwa kama mwanaume?
1. Ukosefu wa fedha
2. Ukosefu wa nguvu za kiume
3. Kufumaniwa
4. Mkeo/mpenzi wako kuchepuka