Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walaaa mkuu😅😅😅😅😅 kumbe wataalmu mpooo
Wapi huko baridi kali?[emoji23][emoji23][emoji23] mbona wewe unajiita mshipa, kwani una mshipa kweli?!!
Nilikuwa cute wife kabla ya kuachika, sema kwa maneno yako naenda kuchana talaka namrudia mume wangu, kwanza baridi kali mno
Wapi huko baridi kali?
Kama ni huko pole sanaMakete [emoji23][emoji23][emoji23]
Haifiki huko ndaniKuna mjumbe mmoja anasema inabidi moja uidumbukize ndani ili kuleta muwasho
Labda tuwaulize wachaga na wapare wa humu..!! Mshana Jr njoo huku kuna hoja zenuMambo ya pwani achieni watu wa pwani...
Mpare na mchaga na shanga wapi na wapi