Chief!!Umetoa majibu ya kisiasa.
Bado hujataja mipango ya serikali kutatua changamoto ya ajira.
Mfano kijana ana kipaji cha ubunifu au wazo la ajira, serikali inamsaidia vipi? Au kazi ya serikali ni kukusanya mapato tu?
Ukiwa unaishi nchi za dunia ya tatu, jifunze jinsi ya kupambana na Hali yako.
Usiwategemee wanasiasa
Mbona kuna mashirika kibao ya mabeberu yanatoa mitaji kwa vijana wanaotoka nchi maskini?
Jifunze kujiongeza na kamwe usiwategemee wanasiasa hasa hasa hawa dizaini ya awamu tano.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app