Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Anapoapishwa Rais, nafasi ya kwanza kuteuliwa ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Walioweka utaratibu huu hawakuwa wajinga kwa sababu kila jambo analofanya Rais linatakiwa kuwa sawa kisheria hivyo ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye anapaswa kumshauri Rais kuhusu maamuzi yake yote ili yawe sahihi katika jicho la Sheria. Kazi ya mwanasheria Mkuu ni kumshauri Rais kuhusu maamuzi yake yote ili yawe sawa kisheria.
Tangu awamu ya 5 , nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imeanza kuonekana kama kivuli tu na sio nafasi ya mshauri ya Rais kuhusu mambo ya kisheria ili maamuzi na matendo ya Rais na Serikali yawe sahihi kisheria.
Alianza marehemu magufuli kwa kutompa Prof Assad kipindi cha pili kinyume na matakwa ya katiba. Juzi mahakama ikatoa uamuzi kusema Rais alivunja katiba.
Sasa kafanya Samia kwa kutompa Prof Luoga kipindi cha pili cha miaka mitano kinyume na matakwa ya Sheria ya Benki Kuu ya mwaka 2006. Hapa Rais wangu kipenzi nae kavunja Sheria
Ikumbukwe moja ya sababu za Rais kuondolewa madarakani ni kuvunja Katiba au Sheria hivyo haipaswi Rais kuonekana anavunja Katiba au Sheria waziwazi namna hii.
Ifike kipindi Nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ionekane na kutumika inavyopaswa!
UPDATES
Sasa limetokea hili lingine
www.jamiiforums.com
Walioweka utaratibu huu hawakuwa wajinga kwa sababu kila jambo analofanya Rais linatakiwa kuwa sawa kisheria hivyo ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye anapaswa kumshauri Rais kuhusu maamuzi yake yote ili yawe sahihi katika jicho la Sheria. Kazi ya mwanasheria Mkuu ni kumshauri Rais kuhusu maamuzi yake yote ili yawe sawa kisheria.
Tangu awamu ya 5 , nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imeanza kuonekana kama kivuli tu na sio nafasi ya mshauri ya Rais kuhusu mambo ya kisheria ili maamuzi na matendo ya Rais na Serikali yawe sahihi kisheria.
Alianza marehemu magufuli kwa kutompa Prof Assad kipindi cha pili kinyume na matakwa ya katiba. Juzi mahakama ikatoa uamuzi kusema Rais alivunja katiba.
Sasa kafanya Samia kwa kutompa Prof Luoga kipindi cha pili cha miaka mitano kinyume na matakwa ya Sheria ya Benki Kuu ya mwaka 2006. Hapa Rais wangu kipenzi nae kavunja Sheria
Ikumbukwe moja ya sababu za Rais kuondolewa madarakani ni kuvunja Katiba au Sheria hivyo haipaswi Rais kuonekana anavunja Katiba au Sheria waziwazi namna hii.
Ifike kipindi Nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ionekane na kutumika inavyopaswa!
UPDATES
Sasa limetokea hili lingine
Jaji Stela Esther Augustine Mugasha kama kajitoa mhanga, kwa mifumo yetu atadumu?
Namuona mama (pichani chini) anatrend sana, nadhani ni kutokana na barua yake ya kukataa kuungana na walio wachache juu ya 'anachosema' dhuluma kwa watanzania. Nimesoma sehemu ndogo sana ya barua yake hapo chini, mama yetu huyu sijui ni Msabato kaona liwalo na liwe, hataki hukumu ije mbele...