Ni ipi nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa sasa?

Ni ipi nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa sasa?

Je ni kweli shall be eligible tafsiri yake ni kuwa ni lazima?
Ndiyo tafsiri ya sheria hapo maana yake ni lazima

Manaibu Gavana hawajawekewa shall hivyo kwao tafsiri yake siyo lazima wanaweza kupewa au kutopewa kipindi cha pili
 
Now lets question the eligibility, age, soundness of health and mind, academic qualifications etc
 
Now lets question the eligibility, age, soundness of health and mind, academic qualifications etc
He was eligible, Sheria ya bank kuu haijasema gavana astaafu akiwa na umri fulani, hayo mambo ya afya na akili taarifa ya ikulu haijayataja imesema tu kamaliza muda wake na mwisho vigezo alikuwa navyo maana ni mwanasheria na sheria inatambua kigezo cha uanasheria kama moja ya vigezo vya kuwa gavana
 
Sheria ya Benki Kuu haijaweka kigezo cha umri kama kustaafu kuwa gavana
Yawezekana. Nimeweka hiyo kwa vile uliuliza umri wake.
Yote kwa yote kuvunjwa katiba ni utamaduni wa nchi yetu. Mifano mingi ipo. Ndiyo sababu wengine wanasema hata tukipata katiba mpya kama haiheshimiwi hakutakuwa na faida.
 
Kila siku ni kujifunza.
Mi nikadhani baada ya kuapa raisi, anamteua Waziri Mkuu kwanza!

Sijui kwanini tunadhani kuwa hao wenye taaluma ni muhimu sana kuliko wenye siasa kwa hii TZ yetu.

Si ndo wanasheria wakuu wote walioshiriki kusaini mikataba mibovu na kujinufaisha tangu enzi na enzi?

Si ndo hao hao wanashiriki bungeni kupitisha tozo na mikataba ya dharula ya usiku kwa usiku?

Si ndo wao wanahusika kwenye mikataba ya kuuzwa vitalu, wanyama, madini hata raia?

Umuhimu wao ni upi? Kusimamia raia kupiga miaka 600 jela kwa kosa la kuiba kwa kubomoa nyumba ya raia mwenzake na kumuacha mwenye 240bn bila kuwa na maelezo ya anazipataje?
 
Yawezekana. Nimeweka hiyo kwa vile uliuliza umri wake.
Yote kwa yote kuvunjwa katiba ni utamaduni wa nchi yetu. Mifano mingi ipo. Ndiyo sababu wengine wanasema hata tukipata katiba mpya kama haiheshimiwi hakutakuwa na faida.
Haipaswi kuwa hivyo. Moja ya vigezo vya nchi imara ni nchi zinazosimamia vizuri sheria walizojitungia wenyewe. Lazima tuwe na wivu wa kusimamia na kuheshimu sheria tulizojitungia wenyewe
 
Assad aliondolewa akiwa hajafikisha umri wa kustaafu, huyu ameondolewa akiwa kafikisha umri wa kustaafu.
Sheria ya kijinga hiyo ina maana gavana au CAG akiteuliwa na miaka 40 akae pale mpaka afikishe miaka 70.
Luoga ana miaka 65,akalee wajukuu
 
Kila siku ni kujifunza.
Mi nikadhani baada ya kuapa raisi, anamteua Waziri Mkuu kwanza!

Sijui kwanini tunadhani kuwa hao wenye taaluma ni muhimu sana kuliko wenye siasa kwa hii TZ yetu.

Si ndo wanasheria wakuu wote walioshiriki kusaini mikataba mibovu na kujinufaisha tangu enzi na enzi?

Si ndo hao hao wanashiriki bungeni kupitisha tozo na mikataba ya dharula ya usiku kwa usiku?

Si ndo wao wanahusika kwenye mikataba ya kuuzwa vitalu, wanyama, madini hata raia?

Umuhimu wao ni upi? Kusimamia raia kupiga miaka 600 jela kwa kosa la kuiba kwa kubomoa nyumba ya raia mwenzake na kumuacha mwenye 240bn bila kuwa na maelezo ya anazipataje?
Ndo mana linapotokea jambo lolote baya kuhusu Rais au Serikali, wa kwanza kujiuzuru ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali maana yeye ndo mshauri mkuu wa Rais na Serikali
 
Hapana wakiteuliwa sheria inasema wahudumu vipindi 2 tu vya miaka mitano mitano
Sheria ya kijinga hiyo ina maana gavana au CAG akiteuliwa na miaka 40 akae pale mpaka afikishe miaka 70.
Luoga ana miaka 65,akalee wajukuu
 
Hapana wakiteuliwa sheria inasema wahudumu vipindi 2 tu vya miaka mitano mitano
Bado ni sheria ya kijinga,kama hamudu nafasi ba uchumi unadorora ,ameshindwa kumshauri Rais wake akae tu kida sheria,yaani nikuteua nishindwe kukutengua,sheria hiyo irekebishwe ni ya ovyo
 
Assad aliondolewa akiwa hajafikisha umri wa kustaafu, huyu ameondolewa akiwa kafikisha umri wa kustaafu.

Hiko cheo cha governor wa Bank kina limitations za umri?
Maana sio ajira rasmi ya umma. Ni uteuzi
 
Nchi yetu kunawakati tunatumia sheria na kuna wakati tunatumia Busara/Utashi wa mtu husika

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Haipaswi kuvunja Sheria au katiba kwa kigezo cha busara. Kiongozi wa kisiasa mamlaka yakeni kwa mujibu wa katiba na sheria, akizivunja anaweka uhalali wa nafasi yake matatani
 
Back
Top Bottom