Ni ipi njia isiyo na fedheha ya kutongoza mwanamke mtandaoni ambaye hamjawahi onana?

Ni ipi njia isiyo na fedheha ya kutongoza mwanamke mtandaoni ambaye hamjawahi onana?

Mrejesho muhimu puliiiiiiz kwa watakao fanikiwa kukutana.
 
Asante, nimevuka salama


Imebaki 2020, sasa hivi mchachu kama mbilimbi

Kwakweli, ila si habaa....

Wafaa kulumangia ugali na dagaa mchele 😅😅😋😋😋😋

Uchachu nao una utamu wake Aahahahahaa sijui unatorokea wapi 😜.
 
Kwakweli, ila si habaa....

Wafaa kulumangia ugali na dagaa mchele [emoji28][emoji28][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]

Uchachu nao una utamu wake Aahahahahaa sijui unatorokea wapi [emoji12].
We Kasinde, hii sio mida ya hizi stori ujue....utanifanya nigeuke sungusungu ujue
 
We Kasinde, hii sio mida ya hizi stori ujue....utanifanya nigeuke sungusungu ujue


😂😂😂😂😂😂🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽

Naomba dawa ya kupaliwa basi kunakosababishwa na kicheko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kwani kesho uko lindoni??
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1430][emoji1430][emoji1430][emoji1430]

Naomba dawa ya kupaliwa basi kunakosababishwa na kicheko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwani kesho uko lindoni??

Hahaha hapana, utanifanya ninyanyuke hapa, nisogee nje kushika njia ya kwa Kasinde, sasa hii mida ya sungusungu
 
Hahaha hapana, utanifanya ninyanyuke hapa, nisogee nje kushika njia ya kwa Kasinde, sasa hii mida ya sungusungu

Sasa unangoja nini wakati njia ya kwenda kwa Kasinde sungusungu wake ni wachina..???? Ukiwapelekea konokono na samaki tuu unasindikizwa hadi mlangoni 😅😅😅

Kwahiyo Sungusungu wamezidi nguvu kuliko njia ya kwenda kwa Kasinde ...!😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom