Ni ipi njia nzuri ya kuishi na mwanamke anayeonesha dalili zakutaka kumtawala mwanaume wake?

Ni ipi njia nzuri ya kuishi na mwanamke anayeonesha dalili zakutaka kumtawala mwanaume wake?

Sasa jitahidi kumkwepa..
Rudi nyumbani kulala tu, pia jitahidi sana ktk Chakula usile peke ako, akipakua na yeye ale hicho hicho.

Pia jitahidi wakati wa kulala usilale kama Ng'ombe, jitahidi ukae mkao.

Pia usiwe mtu wa maneno meengi, timiza wajibu wako kama Mume hasa wa kuacha kodi ya meza na kulipa bills.

Ukirudi hakikisha unarudi na zawadi.. muachie kisha oga vzr kula msosi.. lala.

Pia tafuta faraja nje ya Ndoa.. (Jiongeze) tafuta mtu wa kukupa furaha na amani ya moyo.. si lazima awe MPENZI.
Asante mkuu nashukuru . Nitafanyia kazi
 
Ni mihemko ya kike tu, endelea na mambo yako, Msikilize ila usitilie maanani kila kitu anachoongea mwanamke na usiache majukumu yako. Usichelewe kumpa mimba, mpe mimba hata 4 ikiwezekana 5 halafu tunza wanao.
Asante mkuu nashukuru nitafanyia kazi
 
Mfanyie vitu vya kishenzi shenzi. Mfano, uwe unamla ndogo tigo kila siku asubuhi

Huo kumfira ni mfano tu, Mungu hapendi.

Maana yake ukimfanyia vitu vya kishenzi shenzi unqmvuruga mda wote hapoi roho yake iko juu juu atakupenda sana.

Wanawake wanapenda wanaume wa ovyo, ukiwa mstaarbu sana anakuona Lofa anakupanda.

Acha kushindana nae kabisa
Yesu wangu.
 
Nimejikuta nakasirika tu aisee....
Wewe ni wakutandika viboko ili utambue uanaume wako na akili ikukae sawa, maana sioni kama kuna ushauri wa kukupa hapa.
 
Sawa mkuu
Mfanyie vitu vya kishenzi shenzi. Mfano, uwe unamla ndogo tigo kila siku asubuhi
shukrani
Huo kumfira ni mfano tu, Mungu hapendi.

Maana yake ukimfanyia vitu vya kishenzi shenzi unqmvuruga mda wote hapoi roho yake iko juu juu atakupenda sana.

Wanawake wanapenda wanaume wa ovyo, ukiwa mstaarbu sana anakuona Lofa anakupanda.

Acha kushindana nae kabisa
Sawa mkuu, nitafanyia kazi
 
Kwa story yako hapo ukimfua ndo hivo utakua umechoma kambi, atasepa.

Shida ya hawa ni akiona hufurukuti kwa chochote basi wanakuzoea vibaya.

Jitahidi sana kuzingatia mizaha, lakini pia kila mtu acheze na mipaka yake.

Penda sana kutoa maagizo, utamjengea mentality mpya ya kutawaliwa.

Lakini pia kumbuka mwanamke mara nyingi hufati shauri za mashosti zake, akiwa na mashosti wema ndo hivo utaenjoy ila wakiwa walugaluga, wachawi na mafeminist jipange mwanetu.
Nashukuru. Nitafanyia kazi
 
SIo kaskazini hiyo mzee?...Mpe msimamo wa nini unataka kutoka kwake na isiwe negotiable,akishindwa kufuata mifumo yako nawewe ndio mwanaume mrudishe kwao,kuna wanawake kibao wanaoelewa maana ya kua mwanamke...Wengine hao wamelelewa kua simba la masimba toka huko kwao,amekua anaona mama ndio master,mzee yupoyupo tu kama fala so usidhan mtu wa hivyo utambadilisha ukubwani.Akishindwa kukucontrol kikawaida atahamia kwenye sayansi asilia mpaka ukae kwenye mfumo.
 
Chama bado kinakuita mkuu.
Hapo lazima ugangamale na uwe na misimamo zaidi yake, ukorofi na nginjanginja nyinginezo.

N.B Namba 3, ikitokea akasema tena mwambie aondoke bila kupepesa macho, akiondoka usimfuate hata iweje
Sawa mkuu ipo tuu siku na muhesabia akirudia namba 3 atavuna alichokipanda
 
Sawa mkuu

Sawa mkuu, nitafanyia kazi
Acha kushindana nae. Hata kama akikuumiza usionyeshe kama umekereka

Uwe unamfanyia Yale anayokukera aki mimd mulize mbona ulinifanyia hivi

Kuwa a very bad boy, usimfanye apumzike.

Onyesha kuwa na amri. Amka saa nane za usiku mwambie akutengenezee Chai, maziwa au mpe kikazi.

Usimjali sana akikwambia anaondoka cheka kwa dhihaka. Msikitikie

Usiache kumfira, usimfire kistaarabu...kumbuka ushauri wa mwanzo
 
SIo kaskazini hiyo mzee?...Mpe msimamo wa nini unataka kutoka kwake na isiwe negotiable,akishindwa kufuata mifumo yako nawewe ndio mwanaume mrudishe kwao,kuna wanawake kibao wanaoelewa maana ya kua mwanamke...Wengine hao wamelelewa kua simba la masimba toka huko kwao,amekua anaona mama ndio master,mzee yupoyupo tu kama fala so usidhan mtu wa hivyo utambadilisha ukubwani.Akishindwa kukucontrol kikawaida atahamia kwenye sayansi asilia mpaka ukae kwenye mfumo.
Ni kaskazini mkuu
 
Acha kushindana nae. Hata kama akikuumiza usionyeshe kama umekereka

Uwe unamfanyia Yale anayokukera aki mimd mulize mbona ulinifanyia hivi

Kuwa a very bad boy, usimfanye apumzike.

Onyesha kuwa na amri. Amka saa nane za usiku mwambie akutengenezee Chai, maziwa au mpe kikazi.

Usimjali sana akikwambia anaondoka cheka kwa dhihaka. Msikitikie

Usiache kumfira, usimfire kistaarabu...kumbuka ushauri wa mwanzo
Ase na shukuru sana ndugu yangu
 
Inawezekana basi mwenye tatizo ni wewe. Iweje kila hao wengi wao ndio walikuwa tatizo sio wewe?
mwanzo nilikua kataa ndoa ndiyo maana niliacha wengi maana nlikua sipendi kero na kugandana sana na mwanamke . Sasa nimeoa nimeachana na kataa ndoa. Na mzingatia huyu mke wangu. Sitaki aniforce nirudi nyuma
 
Screenshot_20240904-130631.jpg
 
Back
Top Bottom