Ni ipi njia nzuri ya kuishi na mwanamke anayeonesha dalili zakutaka kumtawala mwanaume wake?

Asante mkuu nashukuru . Nitafanyia kazi
 
Ni mihemko ya kike tu, endelea na mambo yako, Msikilize ila usitilie maanani kila kitu anachoongea mwanamke na usiache majukumu yako. Usichelewe kumpa mimba, mpe mimba hata 4 ikiwezekana 5 halafu tunza wanao.
Asante mkuu nashukuru nitafanyia kazi
 
Yesu wangu.
 
Nimejikuta nakasirika tu aisee....
Wewe ni wakutandika viboko ili utambue uanaume wako na akili ikukae sawa, maana sioni kama kuna ushauri wa kukupa hapa.
 
Sawa mkuu
Sawa mkuu, nitafanyia kazi
 
Nashukuru. Nitafanyia kazi
 
SIo kaskazini hiyo mzee?...Mpe msimamo wa nini unataka kutoka kwake na isiwe negotiable,akishindwa kufuata mifumo yako nawewe ndio mwanaume mrudishe kwao,kuna wanawake kibao wanaoelewa maana ya kua mwanamke...Wengine hao wamelelewa kua simba la masimba toka huko kwao,amekua anaona mama ndio master,mzee yupoyupo tu kama fala so usidhan mtu wa hivyo utambadilisha ukubwani.Akishindwa kukucontrol kikawaida atahamia kwenye sayansi asilia mpaka ukae kwenye mfumo.
 
Chama bado kinakuita mkuu.
Hapo lazima ugangamale na uwe na misimamo zaidi yake, ukorofi na nginjanginja nyinginezo.

N.B Namba 3, ikitokea akasema tena mwambie aondoke bila kupepesa macho, akiondoka usimfuate hata iweje
Sawa mkuu ipo tuu siku na muhesabia akirudia namba 3 atavuna alichokipanda
 
Sawa mkuu

Sawa mkuu, nitafanyia kazi
Acha kushindana nae. Hata kama akikuumiza usionyeshe kama umekereka

Uwe unamfanyia Yale anayokukera aki mimd mulize mbona ulinifanyia hivi

Kuwa a very bad boy, usimfanye apumzike.

Onyesha kuwa na amri. Amka saa nane za usiku mwambie akutengenezee Chai, maziwa au mpe kikazi.

Usimjali sana akikwambia anaondoka cheka kwa dhihaka. Msikitikie

Usiache kumfira, usimfire kistaarabu...kumbuka ushauri wa mwanzo
 
Ni kaskazini mkuu
 
Ase na shukuru sana ndugu yangu
 
Inawezekana basi mwenye tatizo ni wewe. Iweje kila hao wengi wao ndio walikuwa tatizo sio wewe?
mwanzo nilikua kataa ndoa ndiyo maana niliacha wengi maana nlikua sipendi kero na kugandana sana na mwanamke . Sasa nimeoa nimeachana na kataa ndoa. Na mzingatia huyu mke wangu. Sitaki aniforce nirudi nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…