Ni ipi sababu ya kuteguliwa Rafael Chegeni kabla ya kiapo cha Mkuu wa Mkoa?

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Anayejiita Dk ilihali u daktari wake ni wa mashaka bwana Rafael Chegeni mapema mwezi uliopita aliteuliwa awe RC Mara ajabu kabla ya masaa ya uapisho wake uteuzi wake ulitenguliwa pasina kusemwa sababu leteleza.

Kwa wingi wa wajuvi humu jf pengine huenda wapo walio na ufahamu wa kipi hasa kilitokea kwa bwana yule na kupelekea utenguzi ule.

Je,ni kipi kilisababisha kutenguliwa kwake?
 
Kwa Katiba hii iliyompa mamlaka Rais kuteua na kutengua uteuzi wa mteule wake wakati wowote ule! Nadhani tutakuwa tunapiga tu ramli.

Siri ya kumteua/kumtengua wanayo wao wenyewe. Na kwa bahati mbaya hawana huo muda wa kuja kujieleza humu.
 
Kimavi aisee
 
Paragrafu ya mwanzo inaonesha una mgogoro binafsi
 
Hujui ugomvi wake na Dr Mpango!
 
Kwa wingi wa wajuvi humu jf pengine huenda wapo walio na ufahamu wa kipi hasa kilitokea kwa bwana yule na kupelekea utenguzi ule.

Je,ni kipi kilisababisha kutenguliwa kwake?
Ulishawahi kufanya kazi ya ufukuaji makaburi kabla??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…