Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Wanatudharau snKwa Katiba hii iliyompa mamlaka Rais kuteua na kutengua uteuzi wa mteule wake wakati wowote ule! Nadhani tutakuwa tunapiga tu ramli.
Siri ya kumteua/kumtengua wanayo wao wenyewe. Na kwa bahati mbaya hawana huo muda wa kuja kujieleza humu.
Kimavi aiseeAnayejiita Dk ilihali u daktari wake ni wa mashaka bwana Rafael Chegeni mapema mwezi uliopita aliteuliwa awe RC Mara ajabu kabla ya masaa ya uapisho wake uteuzi wake ulitenguliwa pasina kusemwa sababu leteleza.
Kwa wingi wa wajuvi humu jf pengine huenda wapo walio na ufahamu wa kipi hasa kilitokea kwa bwana yule na kupelekea utenguzi ule.
Je,ni kipi kilisababisha kutenguliwa kwake?
Paragrafu ya mwanzo inaonesha una mgogoro binafsiAnayejiita Dk ilihali u daktari wake ni wa mashaka bwana Rafael Chegeni mapema mwezi uliopita aliteuliwa awe RC Mara ajabu kabla ya masaa ya uapisho wake uteuzi wake ulitenguliwa pasina kusemwa sababu leteleza.
Kwa wingi wa wajuvi humu jf pengine huenda wapo walio na ufahamu wa kipi hasa kilitokea kwa bwana yule na kupelekea utenguzi ule.
Je,ni kipi kilisababisha kutenguliwa kwake?
Hujui ugomvi wake na Dr Mpango!Anayejiita Dk ilihali u daktari wake ni wa mashaka bwana Rafael Chegeni mapema mwezi uliopita aliteuliwa awe RC Mara ajabu kabla ya masaa ya uapisho wake uteuzi wake ulitenguliwa pasina kusemwa sababu leteleza.
Kwa wingi wa wajuvi humu jf pengine huenda wapo walio na ufahamu wa kipi hasa kilitokea kwa bwana yule na kupelekea utenguzi ule.
Je,ni kipi kilisababisha kutenguliwa kwake?
Ona fikra za huyu mjinga! Kichwa chako kimejaa udini tu! Lete huo ushahidi p......MBA...but weNi dini ake yeye ni mkrtisto, akitoka muislamu mmoja wanaingia waislamu 8
Dingi akoOna fikra za huyu mjinga! Kichwa chako kimejaa udini tu! Lete huo ushahidi p......MBA...but we
Mi huwa napima kipimo kilekileKijana hovyoo
Ulishawahi kufanya kazi ya ufukuaji makaburi kabla??Kwa wingi wa wajuvi humu jf pengine huenda wapo walio na ufahamu wa kipi hasa kilitokea kwa bwana yule na kupelekea utenguzi ule.
Je,ni kipi kilisababisha kutenguliwa kwake?