sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Nimekuwa nikiona Rais wetu akiipa uzito hii nchi ya kuitwa Oman.
Hadi sasa ninachojua tu ni kwamba Zanzibar ilikuwa koloni la Oman na masultani wake walikuwa na asili ya Oman.
Ila leo pia nimeona hii nchi nayo ipo mbioni katika kinyanganyiro cha kujenga Bandari ya Bagamoyo.
Kwa anaejua japo hata kidogo ningependa kujua nini hasa kipo nyuma ya pazia.
Hadi sasa ninachojua tu ni kwamba Zanzibar ilikuwa koloni la Oman na masultani wake walikuwa na asili ya Oman.
Ila leo pia nimeona hii nchi nayo ipo mbioni katika kinyanganyiro cha kujenga Bandari ya Bagamoyo.
Kwa anaejua japo hata kidogo ningependa kujua nini hasa kipo nyuma ya pazia.