nyboma
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 2,308
- 7,366
Umeanza tena 😂😂Inawezekana anaanda mazingira ya hifadhi ya ukimbizi wa kisiasa , upinzani ukichukua nchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeanza tena 😂😂Inawezekana anaanda mazingira ya hifadhi ya ukimbizi wa kisiasa , upinzani ukichukua nchi.
Kwani kuna ajabu gani Uingereza kuwa na mahusiano mazuri pia na Tanganyika na Zanzibar (Tanzania) maana walitawala hizi nchi miaka ile !! Ufaransa pia wana mahusiano mazuri na nchi zote walizopata kuzitawala ! Kwa taarifa tu hata hayati Mwl Nyerere alikuwa na mahusiano mazuri sana na Nchi ya Oman !!Nimekuwa nikiona raisi wetu akiipa uzito hii nchi ya kuitwa Oman.
Hadi sasa ninachojua tu ni kwamba Zanzibar ilikuwa koloni la Oman na masultani wake walikuwa na asili ya Oman.
Ila leo pia nimeona hii nchi nayo ipo mbioni katika kinyanganyiro cha kujenga bandari ya Bagamoyo.
Kwa anaejua japo hata kidogo ningependa kujua nini hasa kipo nyuma ya pazia.
Nchi za uarabuni zote sio first world countries ni dependant Kwa mataifa ya magharibi kiuchumi wao..Nimekuwa nikiona raisi wetu akiipa uzito hii nchi ya kuitwa Oman.
Hadi sasa ninachojua tu ni kwamba Zanzibar ilikuwa koloni la Oman na masultani wake walikuwa na asili ya Oman...
Hadi sasa ninachojua tu ni kwamba Zanzibar ilikuwa koloni la Oman na masultani wake walikuwa na asili ya Oman.Nimekuwa nikiona raisi wetu akiipa uzito hii nchi ya kuitwa Oman.
Hadi sasa ninachojua tu ni kwamba Zanzibar ilikuwa koloni la Oman na masultani wake walikuwa na asili ya Oman.
...
Oman haiku colonise Zanzibar Bali walihamia kuishi. Wale ni wahamiaji ZanzibarZnz chini ya sultani, ilikuwa koloni la Oman miaka mingii, so wazenji wengi mahaba yao yapo huko
Its vice versa hivi unajua hizo nchi za kiarabu zikijipanga na kusema awatoi nishati zao popote uchumi wa dunia utakavyoathirika.Nchi za uarabuni zote sio first world countries ni dependant Kwa mataifa ya magharibi kiuchumi wao..
Zanzibar haijawahi kuwa koloni la Oman NDUGUNimekuwa nikiona raisi wetu akiipa uzito hii nchi ya kuitwa Oman.
Hadi sasa ninachojua tu ni kwamba Zanzibar ilikuwa koloni la Oman na masultani wake walikuwa na asili ya Oman.
Ila leo pia nimeona hii nchi nayo ipo mbioni katika kinyanganyiro cha kujenga bandari ya Bagamoyo.
Kwa anaejua japo hata kidogo ningependa kujua nini hasa kipo nyuma ya pazia.
Nchi zinazozalisha Nishati zipo kibao . Wao wakuwa privileged kwasababu hawana mbadala zaidi ya mafuta. Hawana ardhi ya kilimo zaidi ya mafuta. Mataifa mengi duniani hasa ya American, Ulaya na Asia Yana reserved kubwa ya mafuta .Hivi unajua hizo zikijipanga na kusema awatoi nishati zao popote uchumi wa dunia utakavyoathirika.
Aisee!Oman haiku colonise Zanzibar Bali walihamia kuishi. Wale ni wahamiaji Zanzibar
Sasa hivi Zenj ni koloni la Tanganyika wazenj wote hawapendi jambo hilo ila hawana jinsi.Znz chini ya sultani, ilikuwa koloni la Oman miaka mingii, so wazenji wengi mahaba yao yapo huko
Ana-recruit future wajilipuajiNimekuwa nikiona raisi wetu akiipa uzito hii nchi ya kuitwa Oman.
Hadi sasa ninachojua tu ni kwamba Zanzibar ilikuwa koloni la Oman na masultani wake walikuwa na asili ya Oman.
Ila leo pia nimeona hii nchi nayo ipo mbioni katika kinyanganyiro cha kujenga bandari ya Bagamoyo.
Kwa anaejua japo hata kidogo ningependa kujua nini hasa kipo nyuma ya pazia.
Mkuu,That is not to say watu wasijipange kumtoa mama 2025 simply because she has no agenda nor understands how to evolve a nation; anaenda tu kama gari bovu.
She is innocent but people serious get rid of this woman.
Yalipindua utawala halali wa wazenj na kuwafanya koloni la Tanganyika.Aisee!
Mapinduzi ya Znz ya 1964, yalipindua nini?
Eeeh mnawatambuaj??Sisi bara tunawatambua!!!
Unataka sababu gani zaidi ya sababu ya kihistoria? Kwani SSH si ana asili ya Kiarabu,unaona ni Msukuma yule kama wewe?Nimekuwa nikiona raisi wetu akiipa uzito hii nchi ya kuitwa Oman...