Ni ipi sababu ya Rais Samia kuwa karibu sana na kuipa uzito Nchi ya Oman?

Ni ipi sababu ya Rais Samia kuwa karibu sana na kuipa uzito Nchi ya Oman?

Serikali gani ilianzisha shule za kata?
Shida inaanzia kwenye shule za kata zinazalisha vijana wenye uelewa mdogo sana mambo though sio wote, vijana wa leo hawafikilii kingine zaidi ya ushabiki na mihemko ya mambo...
 
Yalipindua utawala halali wa wazenj na kuwafanya koloni la Tanganyika.
😂😂😂
Lkn yale mapinduzi hayakufanywa na Tanganyika..
Yalitekelezwa na shujaa mwanamapinduzi Mganda John Okelo, baadaye mzee Karume akakabidhiwa usukani.

Hayo ya kugeuka koloni la chama pendwa (siyo Tanganyika), waliingia kingi baadaye😊
 
😂😂😂
Lkn yale mapinduzi hayakufanywa na Tanganyika..
Yaliteketezwa na shujaa mwanamapinduzi Mganda John Okelo, baadaye mzee Karume akakabidhiwa usukani.

Hayo ya kugeuka koloni la chama pendwa (a.k.a Tanganyika), waliingia kingi baadaye😊
Hapana, Tanganyika ndio ilioandaa nakutekeleza huyo Okelo alikodiwa tu.
 
Yaani wabongo bhana.... mbona kutwa tukiisifia USA, UK na nchi nyingi za Ulaya ambazo zilikuwa ni Wakoloni wetu na hatuoni shida?...
I agree, let us think outside the box. Oman ni ndugu zetu, potentially we can form strong alliance in the Indian Ocean Region. I been to Dubai and Oman several times: you feel at home utakuta watu wanakunywa ghahawa wanaongea Kinyamwezi.

Yaliyopita yamepita, sidhani kama kuna watu wanaotaka kurudi huko. The Alliance will be mutally beneficial in increasingly competitive Regions. Kinachtuunganisha ni kule kuzienzi mila zetu, Kiswahili na Uislamu, nguzo kuu za umoja wetu Jamhuri ya Muungano.

Tulikuwa watumwa kikwelikweli, akaja Karume akatukomboa; sasa tuwe macho lakini tusiwe tena watumwa wa historia. The President is quite right.
 
Hapana, Tanganyika ndio ilioandaa nakutekeleza huyo Okelo alikodiwa tu.
😂😂
Daah!
Ndo kwanza nasikia hilo.
Kama ni kweli, kuna jambo Baba wa Taifa alibugi.. angeifanya kabisa Znz kama Putin alivyofanya Crimea 😊
 
Nchi zinazozalisha Nishati zipo kibao . Wao wakuwa privileged kwasababu hawana mbadala zaidi ya mafuta. Hawana ardhi ya kilimo zaidi ya mafuta. Mataifa mengi duniani hasa ya American, Ulaya na Asia Yana reserved kubwa ya mafuta . Miaka ya baadae mataifa yaliyo na uchumi mkubwa yapo katika mpango wa kuaachana kutumia mafuta mbadala ni kutumia umeme ili kupunguza gesi ya ukaa. Ila wanachojitahidi ni kusimamia vilivyo rasilimali walizonazo
Ntakachokwambia kwa kifupi ni hiki people spend three years kusoma ‘oil and gas management’ degree.

National Security strategy ya nchi yoyote ambayo ni world power priority number one ni energy security (i.e supply of oil and gas). Unataka kujua why jifunze kuhusu vita ya Arab, Israel war mafuta yalipotumika kama silaha.

Sasa watu washajifunza na kuelewa 80% ya energy supply hipo Middle East.

Narudia tena why I told you kuna umuhimu wa uelewa ‘oil and gas management’ kabla ya kuzungumzia; sasa mtu mwenye hiyo shahada an ajifunza na mbinu za ku faze out reliance ya carbon energies kabla ya kutafuta ugomvi na wazalishaji and trust me there is a lot of planning kabla ya kukurupuka.

Maswala ya Oil Gas kuyazungumzia inabidi uyaelewe kwa upana wake, na sio siasa za third world kwa upana wake. Hila ukiyaelewa kwa West ni issue very sensitive sio ya kuropoka ovyo there are lots of factors to consider and mitigation measures to pursue.

Nchi ambayo watu wanaweza toboa pipe la mafuta na kuiba na usalama wa taifa wasione shida, hiyo sio nchi iliyojipanga kwenye national security.

That is to say believe or not, without disrespecting you hayo mambo unayotaka kuyaongelea sio size yako.
 
Ntakachokwambia kwa kifupi ni hiki people spend three years kusoma ‘oil and gas management’ degree.

National Security strategy ya nchi yoyote ambayo ni world power priority number one ni energy security (i.e supply of oil and gas). Unataka kujua why jifunze kuhusu vita ya Arab, Israel war mafuta yalipotumika kama silaha.

Sasa watu washajifunza na kuelewa 80% ya energy supply hipo Middle East.

Narudia tena why I told you kuna umuhimu wa uelewa ‘oil and gas management’ kabla ya kuzungumzia; sasa mtu mwenye hiyo shahada an ajifunza na mbinu za ku faze out reliance ya carbon energies kabla ya kutafuta ugomvi na wazalishaji and trust me there is a lot of planning kabla ya kukurupuka.

Maswala ya Oil Gas kuyazungumzia inabidi uyaelewe kwa upana wake, na sio siasa za third world kwa upana wake. Hila ukiyaelewa kwa West ni issue very sensitive sio ya kuropoka ovyo there are lots of factors to consider and mitigation measures to pursue.

Nchi ambayo watu wanaweza toboa pipe la mafuta na kuiba na usalama wa taifa wasione shida, hiyo sio nchi iliyojipanga kwenye national security.

That is to say believe or not, without disrespecting you hayo mambo unayotaka kuyaongelea sio size yako.
80% not true kabisa. Kuna nchi kibao Africa they have also oil reserves but wameshindwa kusimamia vizuri na wananchi wake ni masikini especially Angola n k .
Screenshot_2022-03-17-08-24-57-33.jpg
 
Sum-up what region has the most reserves.

Venezuela ndio nchi yenye reserve kubwa ya mafuta duniani.

But Middle East as a group posses 80% of global reserves za mafuta na gas, ungekuwa unauelewa wa hiyo industry ungejua the significant of geo politics la hilo eneo, especially ulinzi wa ‘Strait of Hormuz’ given the vulnerability of the region and the importance of the area to the global economy.

Ni hivi uwe unaijua hiyo industry sio kuleta mipicha ambayo uelewi.
 
Yaani wabongo bhana.... mbona kutwa tukiisifia USA, UK na nchi nyingi za Ulaya ambazo zilikuwa ni Wakoloni wetu na hatuoni shida????

Haya makengeza mpaka kwenye kufikiri yatatulemaza akili zetu..
kama limeendelea kiteknolojia ya kijeshi hao milioni kumi mbona wengi tu
kapitie documentary ya six day war kati ya Israel na arab coalition states
 
Sasa hivi Zenj ni koloni la Tanganyika wazenj wote hawapendi jambo hilo ila hawana jinsi.
Acha uongo....

Zanzibar haijawahi kuwa koloni la Tanganyika....wazanzibari walio wengi wanalipenda taifa lao la Tanzania ....

N.B Tanganyika imeshakufa kamwe haifufuki

#Siempre JMT🙏
 
Kwani hujui kuwa wazanzibari mabwana zao ni wa-Oman.
Mabwana Oman, Watwana Zanzibar
 
Nchi za uarabuni zote sio first world countries ni dependant Kwa mataifa ya magharibi kiuchumi wao..
Nchi zote duniani zinategemeana kwa namna moja au nyingine, hata tajiri huwa anahitaji masikini wakamzike !
 
Back
Top Bottom