Mwinyi kaoa Mwarabu, mwanae Ana mke Mwarabu, karume mke wake mbulushi (wengi wapo Oman) na amemuoa hata kabla ya mapinduzi. Watu wengi influential Bara hili LA Africa wana wake waarabu, juzi tu hapa Alpha Blonde na ubabu wake kaoa Tunisia.
Na Mkuu assume Baba ni Mwarabu na mama Mbantu, mtoto akizaliwa si Ana damu za wote? Ikitokea huyu mtoto kaoa Mwarabu damu ya kibantu haijaoa Mwarabu?
Huko Omani kwa vipindi zaidi ya vitatu watu wenye Asili ya Afrika ni masultan, kuanzia Babu yake Qaboos, baba hadi Qaboos mwenyewe na husikii wa Oman wakilalamika, wameitransform nchi yao toka kuwa Koloni LA Uingereza mpaka Sasa Ina uchumi sawa na Hizo Nchi zaulaya.