Ni ipi sababu ya Rais Samia kuwa karibu sana na kuipa uzito Nchi ya Oman?

Ni ipi sababu ya Rais Samia kuwa karibu sana na kuipa uzito Nchi ya Oman?

Kila awamu na marafiki zake...

Awamu ya tano, bega kwa bega na Rwanda...
 
Mutakereka saana,Mama anaupiga mwingi,na siku si nyingi mabomba yetu yatatoa maziwa badala ya maji.
Achieni ngazi Mchuma unaondoka.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Idadi ya watu sidhani kama inaweza kuzuia usiwe chini au tegemezi. Oman wako wachache ila bado tunawategemea kwa baadhi ya vitu. Norway ina watu million 6 ila bado wanatusaidia!!
Yaani wabongo bhana.... mbona kutwa tukiisifia USA, UK na nchi nyingi za Ulaya ambazo zilikuwa ni Wakoloni wetu na hatuoni shida?...
 
Nimekuwa nikiona Rais wetu akiipa uzito hii nchi ya kuitwa Oman.

Hadi sasa ninachojua tu ni kwamba Zanzibar ilikuwa koloni la Oman na masultani wake walikuwa na asili ya Oman.

Ila leo pia nimeona hii nchi nayo ipo mbioni katika kinyanganyiro cha kujenga Bandari ya Bagamoyo.

Kwa anaejua japo hata kidogo ningependa kujua nini hasa kipo nyuma ya pazia.

Nikusahihishe kidogo. Zanzibar haijawahi kuwa koloni la Oman. Kilichotokea ni Sultan wa Oman Sayyid Said alihamisha makao yake makuu kutoka Oman na kuyaleta Zanzibar mwaka 1840 na alipofariki kwenye miaka ya 1850s Ufalme uligawanywa sehemu mbili yaani Oman na Zanzibar. Kwahiyo dola kongwe ya Zanzibar ilikuwa ni dola huru iliyoenea hadi maziwa makuu ikitambuliwa na mataifa makubwa duniani. Kuiita Znz koloni la Oman ni kuivunjia heshima.
 
Inawezekana anaanda mazingira ya hifadhi ya ukimbizi wa kisiasa , upinzani ukichukua nchi.
Kwa hiyo upinzani ukichukua nchi priority itakuwa ni visasi badala ya kuwaletea wananchi maendeleo? Kisasi kwa lipi baya walilofanyiwa?
 
Nikusahihishe kidogo. Zanzibar haijawahi kuwa koloni la Oman. Kilichotokea ni Sultan wa Oman Sayyid Said alihamisha makao yake makuu kutoka Oman na kuyaleta Zanzibar mwaka 1840 na alipofariki kwenye miaka ya 1850s Ufalme uligawanywa sehemu mbili yaani Oman na Zanzibar. Kwahiyo dola kongwe ya Zanzibar ilikuwa ni dola huru iliyoenea hadi maziwa makuu ikitambuliwa na mataifa makubwa duniani. Kuiita Znz koloni la Oman ni kuivunjia heshima.
Halafu hii kwa mbali inaanza kuleta picha kama Oman ndiyo ilikuwa koloni la Zanzibar kwa sababu Sultani alikuwa anaishi Zanzibar
 
Ni Saudi Arabia anaenda ku visit, nchi ambayo jumamosi iliyopita serikali ilikata vichwa na kuua watu 81 kwa pamoja (mass executions) Kwa 'makosa' mbalimbali ikiwemo ugaidi, imani za dini, nk 🙄


Bora huko mara milionis wananyongwa na kila mmoja anakuwa na ufahamu kama ndugu,rafiki,jamaa amenyongwa ,vipi kwenye nchi watu wanapotea,wanatekwa wanapigwa risasi na watendaji wanaitwa wasiojulikana mpaka imekuwa mazoea . wanaitwa wasiojulikana ili iweje ?
 
Yaani wabongo bhana.... mbona kutwa tukiisifia USA, UK na nchi nyingi za Ulaya ambazo zilikuwa ni Wakoloni wetu na hatuoni shida????

Haya makengeza mpaka kwenye kufikiri yatatulemaza akili zetu....

Leo hii huwezi kuta familia hapa Tanzania zenye mchanganyiko wa damu kati ya wazawa na Wajerumani au Waingereza meaning walituchukulia kama watumwa na daraja la pili kwao... lakini kwa upande wa Oman ni tofauti meaning wanawaona Zanzibar kama sehemu ya ndugu zao....

KUNA UBAYA GANI WAKISHIRIKI KUWEKEZA HUMU NA KUIMARISHA MASHIRIKIANO YA KIUCHUMI?

TUACHE KUFIKIRI KINYUMENYUME JAMANI...

Oman yenye watu chini ya 10M wanaweza kweli to Overdue the Country of more than 60M? Tutakuwa mazombi siyo bure.
Umeongea ukweli mchungu. Tuko busy kuwachukia waarabu wakati wazungu wanafanya kitu kilekile

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Halafu hii kwa mbali inaanza kuleta picha kama Oman ndiyo ilikuwa koloni la Zanzibar kwa sababu Sultani alikuwa anaishi Zanzibar
Zanzibar halikuwa koloni bali ilikuwa ni sehemu ya Ufalme wa Oman toka mwaka 1650 baada ya askari kutoka Oman na wananchi wa Pwani ya Afrika Mashariki kuwafurusha Wareno. Toka hapo Oman ilikuwa na haiba kubwa kwenye maeneo yote ya Pwani ya Afrika Mashariki. Na mwaka 1840 Sultan aliamua kuhamishia makao yake makuu Zanzibar.
 
Nikusahihishe kidogo. Zanzibar haijawahi kuwa koloni la Oman. Kilichotokea ni Sultan wa Oman Sayyid Said alihamisha makao yake makuu kutoka Oman na kuyaleta Zanzibar mwaka 1840 na alipofariki kwenye miaka ya 1850s Ufalme uligawanywa sehemu mbili yaani Oman na Zanzibar. Kwahiyo dola kongwe ya Zanzibar ilikuwa ni dola huru iliyoenea hadi maziwa makuu ikitambuliwa na mataifa makubwa duniani. Kuiita Znz koloni la Oman ni kuivunjia heshima.
Huyo mfalme alikuwa anafanya kazi gani km si kutawala?
Huko Zanzibar alitawala kinanguruwe?
 
Nimekuwa nikiona Rais wetu akiipa uzito hii nchi ya kuitwa Oman.

Hadi sasa ninachojua tu ni kwamba Zanzibar ilikuwa koloni la Oman na masultani wake walikuwa na asili ya Oman.

Ila leo pia nimeona hii nchi nayo ipo mbioni katika kinyanganyiro cha kujenga Bandari ya Bagamoyo.

Kwa anaejua japo hata kidogo ningependa kujua nini hasa kipo nyuma ya pazia.
Dah, mzee unaonekana una ujuaji wa kishamba halafu wa kizamani,unapenda kudakia vitu halafu huna maelezo ya kutosha, kwa kifupi unaendeshwa na mhemko,papara,pupa jumlisha na ushamba, udaku, pamoja na umbeya ndiyo kabisa.
Tangu ulipobadilisha jina la Infantry soldier bado ushamba haujakutoka. Vipi project yako imelipa??
 
Nimepapenda hapo penye "--- familia zenye mchanganyiko wa damu," jambo ambalo limenikumbusha habari ya Rais Karume wa kwanza na kuoa mwarabu, enzi hizo.

Hivi mkuu 'Maria Nyedetse', (samahani, kidogo nilitaka kukosea kuweka g, badala ya d kwenye jina lako), uliwahi kuona au kusikia ni waafrika (weusi) wangapi huko Zenji waliobahatika kuoa wanawake wa kiarabu? Unayo mifano ututajie?

Hawa watoto wenye "mchanganyo wa damu" unaowazungumzia hapa, baba zao ni weusi, au mama zao pekee ndio weusi?
Mwinyi kaoa Mwarabu, mwanae Ana mke Mwarabu, karume mke wake mbulushi (wengi wapo Oman) na amemuoa hata kabla ya mapinduzi. Watu wengi influential Bara hili LA Africa wana wake waarabu, juzi tu hapa Alpha Blonde na ubabu wake kaoa Tunisia.

Na Mkuu assume Baba ni Mwarabu na mama Mbantu, mtoto akizaliwa si Ana damu za wote? Ikitokea huyu mtoto kaoa Mwarabu damu ya kibantu haijaoa Mwarabu?

Huko Omani kwa vipindi zaidi ya vitatu watu wenye Asili ya Afrika ni masultan, kuanzia Babu yake Qaboos, baba hadi Qaboos mwenyewe na husikii wa Oman wakilalamika, wameitransform nchi yao toka kuwa Koloni LA Uingereza mpaka Sasa Ina uchumi sawa na Hizo Nchi zaulaya.
 
Nimekuwa nikiona Rais wetu akiipa uzito hii nchi ya kuitwa Oman.

Hadi sasa ninachojua tu ni kwamba Zanzibar ilikuwa koloni la Oman na masultani wake walikuwa na asili ya Oman.

Ila leo pia nimeona hii nchi nayo ipo mbioni katika kinyanganyiro cha kujenga Bandari ya Bagamoyo.

Kwa anaejua japo hata kidogo ningependa kujua nini hasa kipo nyuma ya pazia.
Oman ina udugu wa damu na Zanzibar (ambayo iko Tanzania) ni zaidi ya hio historia ya ukoloni pekee kwa kulinganisha na uingereza, ujerumani nk. Oman inaposema inataka kusaidia naamini wanalenga haswa kusaidia ndugu zao wa damu.

Maasalaam,
 
Nchi za uarabuni zote sio first world countries ni dependant Kwa mataifa ya magharibi kiuchumi wao..
Aisee.

Nchi za kiarabu hizo zaGulf Zina uchumi wa kujitosheleza, unajua Kampuni moja tu ya Saudia kama Saudi Aramco ina Thamani ya Trilioni 2.4 zakimarekani.

Kwa Hela za madafu dola Trilioni 2.4 ni Budget ya Tanzania miaka zaidi ya 80,

Inachuana na Apple kama kampuni Tajiri duniani then wewe Unasema ni tegemezi?
 
Aisee.

Nchi za kiarabu hizo zaGulf Zina uchumi wa kujitosheleza, unajua Kampuni moja tu ya Saudia kama Saudi Aramco ina Thamani ya Trilioni 2.4 zakimarekani.

Kwa Hela za madafu dola Trilioni 2.4 ni Budget ya Tanzania miaka zaidi ya 80,

Inachuana na Apple kama kampuni Tajiri duniani then wewe Unasema ni tegemezi?
Saud Aramco na Marekeni yumo maana yake ni Saud Arabia and American. Saud arabia wako vizuri
 
Back
Top Bottom