Ni ipi sababu ya Rais Samia kuwa karibu sana na kuipa uzito Nchi ya Oman?


Mkuu unheshimika punguza kuropokwa, Unawafahamu Wahadimu ni nani hasa? Ni watumwa waliotoka bara ambao walikuwa wakifanyakazi kwenye mashamba ya Waarabu. Sasa inakuaje leo utwambie kuwa wao ndio wenye asili halisi?
 
Acha kuandika maneno ya uchokozi na uchochezi humu. Nilishakupa mfano Ufaransa ilikalia Algeria miaka 140 na hao Wafaransa walifikiri wataitawala Algeria maisha lakini mwishowe walitimuliwa na vibaraka wao walinyongwa. Na Ufaransa ni taifa kubwa kama walishindwa kukalia nchi maisha nyie machogo mtaweza?
 

Mimi nilifikiri alau umesoma kidogo ukaelimika ,hivi mnyamwezi gani aliyekuja Zanzibar akawa haongei kinyamewezi anaongea kimakunduchi?
Hivi Hiyo akili yako sijui niite upumbavu au ujinga?

Hivi ushirazi Na umatumbi wapi Na wapi ?

Hivi wewe mkatoliki unaye Padri au askofu mwanamke ? Kwa nini hamna Huo utaratibu. Wacha mnyooshwe Na mwanamke Mzanzibari kwa ujinga Na upumbavu wenu. Na toka mnapo amka mpaka mnalala ni Zanzibar tuuuu.

Hiyo Tanganyika yenu ni takataka hamna haja nayo?
 
Kuna kitu kimoja hua kinawapa watu wengi shida, ni ile kuchanganya ujio wa Ufalme wa kiarabu na Ujio wa waarabu. hivyo ni vitu viwili tofauti, Waarabu wapo Zanzibar kwa zaidi ya miaka elfu nyuma.
SAWA.

Kwa hiyo na wewe unathibitisha kwamba waarabu walipokuja pwani ya Afrika Mashariki kwa mara ya kwanza kabisa, visiwa hivi havikuwa na mtu hata mmoja mswahili?

sasa unapoongeza hili la ujio wa sultan kuwa tofauti na ule wa waarabu wengine wa mwanzo, hapo unazidi kuchanganya zaidi ile stori ya mwanzo, ya mfalme wa Oman kuingia kwenye visiwa hivi.
 
Hapana, siyo tatizo la akili hata kidogo, kwa sababu naijuwa Kinshasa ya DRC, ilivyo na Brazaville, kama mfano uliokaribu zaidi ya huo uliouweka wewe.
 
Hapana, siyo tatizo la akili hata kidogo, kwa sababu naijuwa Kinshasa ya DRC, ilivyo na Brazaville, kama mfano uliokaribu zaidi ya huo uliouweka wewe.

Mbona hata Tanganyika Na Kenya au Uganda ,au Msumbiji , Ruwanda , Burundi ni hivyo hivyo?
 
Historia ya Zanzibar huwezi kuipata House of Wonders, Utakachokipata pale ni propaganda za ovyo za CCM
Sawa mwarabu mzenj!! Muelekeze huyo ndugu yako wapi anaweza kwenda akasomeshwa kuhusu Seyyid Baragash!
 
Ndiyo maana naamini katiba mpya itakuja itatokea zanzibar mnaopenda vyeo vya bwerere kwakupora wengine uchaguzi mjiandae kisaikoloji
 
Boti ni njia ya usafiri tu mkuu, hata Kigamboni tunavuka kwa boti!
Kinshasa na Brazaville hakuna boti?

Mbona liko daraja kule Kinshasa nae Brazzaville. ,Kigamboni unaweza kwenda bila kuvuka Na boti, ni uamuzi wako ,lakini Zanzibar huwezi
 

maelezo yako ni ya kinadharia lakini hayana facts, Uwepo wa waarabu kipindo hicho una facts kabisa unaisapoti hiyo hoja. Na kwa kuengezea tu kwa kifupi Watu weusi wa mwanzo kuingia ukanda wa chini wa Africa Mashiriki walitokea ukanda wa Sudan/ Somali/ Ethopia na sio hawa wabantu wanaotokea Tanganyika.
 
Nadharia ina nafasi yake katika mwendelezo wa mambo, kwa hiyo huwezi kuidharau.

Mimi sijauliza weusi wa kwanza kuwepo ukanda huu wa Afrika, hilo ni jambo jipya unaloingiza wewe sijui kwa faida gani. Naona jibu la nilichouliza hunalo, maanake umeachana nalo kabisa na kuandika mambo mengine tofauti kabisa na kilichoulizwa.
 
Wewe mwarabu koko..pole sana..ila hao hao viongozi wenu ndio mwiba wenu..wala sio watanganyika..watanganyika hua wanaalikwa kuwasaidia waendelee kuwepo madarakani pindi wanapooona ugali wao umekaribia kupokonywa...refer uchaguzi wa 2015 alichowafanyia jecha.

#MaendeleoHayanaChama
 
Sio uchochezi..huo ndio ukweli..muungano kuuvunja sahauni..myb siku ccm ife.

#MaendeleoHayanaChama
 
Umepaniki sana..nakushauri kajiripue tu ukapewe bikra 72 mana ndio unakoelekea..ila kuhusu Tanganyika kuondoka zenji hilo sahau maisha.

#MaendeleoHayanaChama
 
Tanganyika watu waliokuwepo asilia na mpaka sasa wapo niwahadzabe.

#MaendeleoHayanaChama
 

Ya jecha , kwa taarifa , Shein alishakubali kushindwa Na hapo hapo Kikwete akaliamrisha jeshi la kivamizi kuzunguka jengo lililokuwa Na tume ya uchaguzi. Wakaingia wakamkamata Jecha kistaili Na kulazimisha arekodi ile clip ya kuufuta uchaguzi.
Haya mambo usifikiri Wazanzibari ni wajinga, yote Kuna siku mtalipa ,namna gani sikumwagii mtama.
 
Umepaniki sana..nakushauri kajiripue tu ukapewe bikra 72 mana ndio unakoelekea..ila kuhusu Tanganyika kuondoka zenji hilo sahau maisha.

#MaendeleoHayanaChama

Mbona bikra kutoka Tanganyika wametujalia tele mpaka wanaume wanatafuta tonge.

Mambo yameiva omba uhai mamlaka kamili yanakuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…