Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

MBNA Sasa Kuna mãendeleo? Kwanzia makazi, miundombnu,huduma za jamii etc?
MBNA ninyi hko kwenu mnalala nyumba za nyasi Hadi Karne HII? Uchagan umeshaona nÿumba ya nyasi walau Moja tu ?
 
Wizi
 
Wachaga wako kama wahindi, wanaharibu watoto wao, utakuta mmoja dishi limeyumba huwezi kumjua kirahisi...

Huyo ndio anawapa utajiri...

Kingine ni watu wa kafara za damu za wanyama kwa wafu/mizimu...
wewe utakuwa unatoka ule mkoa ambao walimuua kikongwe wakanyofoa macho na bado ni masikini wa kutupwa
 
wewe shida yako ni ubabe unataka uoe kule ambapo akikupa maji akupigie magoti hasimami hadi umalize kunywa huu ni ushamba wa hali ya juu .Watu wako busy kutafuta maisha hawana muda wa kupiga magoti watasimama saa ngapi kutafuta pesa
 
Janja janja sana kwenye kupiga dili.
 
Pamoja na maendeleo yao wachaga wana matatizo ya ugonjwa wa akili wako dakika moja mbele.
Mfano mhe yule aliyeoa dogo dogo miezi 6 akafariki.
Rafiki yangu mmoja aliniambia shauri ya pombe.
Nilijaribu kutafiti jirani kwangu wachaga wanaonizunguka nime prove ila ajabu sasa wako vizuri kutafuta shillingi na elimu wako vizuri sana.Mungu hampi mtu kila kitu kwa kweli.
 
wewe shida yako ni ubabe unataka uoe kule ambapo akikupa maji akupigie magoti hasimami hadi umalize kunywa huu ni ushamba wa hali ya juu .Watu wako busy kutafuta maisha hawana muda wa kupiga magoti watasimama saa ngapi kutafuta pesa
😄😄 ndugu umenilisha maneno, kisha una nifokea.
 
Mkuu mbona unahangaika hivi...

Kuna hadi nyumba za udongo moshi......

Umaskini mtupu.....hapa ni kibosho moshi...tazama watu walivyochakaa huko moshi...
 
Check ndugu zako walivyo chakaa huko moshi sijui kibosho....

Hebu Tazama hiz sura....hawa watu ndo wameendelea...

Tazama makazi yaan bora hata kigoma aisee...

 
Mkuu mbona unahangaika hivi...

Kuna hadi nyumba za udongo moshi......

Umaskini mtupu.....hapa ni kibosho moshi...tazama watu walivyochakaa huko moshi...
View attachment 2706658View attachment 2706659
Kuna nÿumba za nyasi kama kwenu MULEBA?
Huelewi nini?
Uchagan nÿumba bora ni 95% nyumba ambazo sio bora ni 5% tu MBNA IPO wazi? Hyo unayosema ni miongoni mwá Hizo 5%
Ningekuwa nimesema 100% hapo ungekuwa n'a hoja
 
Yah pombe Lkn maendleo mbele, kule hawana mambo ya kishirikina kama wenzetu wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…