Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Check ndugu zako walivyo chakaa huko moshi sijui kibosho....

Hebu Tazama hiz sura....hawa watu ndo wameendelea...

Tazama makazi yaan bora hata kigoma aisee...

Unasumbuliwa na ushamba,hâta marekan,ulaya Kuna ombaomba,
Tunachosema ni kuwa Hali ya makazi uchagan makazi bora ni 95% 5% tu ndio sio bora, alafu hiyo picha hapo hayo makzi ni nafuu kulinganisha n'a nÿumba zenu za nyasi huko uhayani
Uchagan hatuna nyumba ya nyasi hâta Moja
 
Hawalogani wao kwa wao, japo uchawi wanaujua na pia huwa hawaui Albino. Huwezi ukasikia taarifa za mtu kukatwa mapanga Moshi iwe uchaggani au upareni.
Msuya na Mtei walifanya kazi kubwa sana huko, waiwaunganisha watu kwa namna ya pekee sana
 
Hapana, hawako overrated. Tuwapeni haki yao. Kabila kubwa kama wasukumua ndiyo walitakiwa wawe juu kuliko wachagga. Kabila dogo kuwa juu ya kabila kubwa, ni akili ya kipekee sana
Tuwapeni haki yao wachagga!
Hawalogani wao kwa wao, japo uchawi wanaujua na pia huwa hawaui Albino. Huwezi ukasikia taarifa za mtu kukatwa mapanga Moshi iwe uchaggani au upareni.
Msuya na Mtei walifanya kazi kubwa sana huko, waiwaunganisha watu kwa namna ya pekee sana
Fact
 
Hawalogani wao kwa wao, japo uchawi wanaujua na pia huwa hawaui Albino. Huwezi ukasikia taarifa za mtu kukatwa mapanga Moshi iwe uchaggani au upareni.
Msuya na Mtei walifanya kazi kubwa sana huko, waiwaunganisha watu kwa namna ya pekee sana
Kukatwa mapanga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...

Hii juzi tu amekatwa mapanga huko kibosho...

Nyinyi watu mna matatizo ya akili na sifa za kijinga...hiz tabia za kujiona keki mziache...dunia imebadilika sasa...kwanza tazama watu wa moshi walivyochoka kweli kweli na umaskini uliokomaa huko uchagani...


 
Hawalogani wao kwa wao, japo uchawi wanaujua na pia huwa hawaui Albino. Huwezi ukasikia taarifa za mtu kukatwa mapanga Moshi iwe uchaggani au upareni.
Msuya na Mtei walifanya kazi kubwa sana huko, waiwaunganisha watu kwa namna ya pekee sana
Moshi....

 
Wakinga wako dar na iringa kwao,tafuta mkinga mwz mwenye biashara au dom hutamwona
 
Hapana, hawako overrated. Tuwapeni haki yao. Kabila kubwa kama wasukumua ndiyo walitakiwa wawe juu kuliko wachagga. Kabila dogo kuwa juu ya kabila kubwa, ni akili ya kipekee sana
Tuwapeni haki yao wachagga!
Tatizo la wachaga ni weziiii. Halafu mwizi utampaje haki?
 
Hawajafkia wale WA kwenu MULEBA ambao hâta maji ya kunywa ni mtihani,Hadi Léo hawajui umene
NENDA tarafa ya kimwani
 
Sikuhizi wameingia na kwenye habari ya kuchunga kondoo wa Bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…