Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana fundi na hongera kwa kufanya maamuzi sahihi.Kwa mara ya kwanza kabisa naonja kuajiriwa na kuanza kazi rasmi nilikuwa najituma sana na mwenye weledi nadhani kwasababu ya kimuyemuye cha kazi,sikutaka kabisaa ujinga kwenye ishu za kazi,.kazi ilikuwa ndio mpenzi wangu mahabuba,.lakini siji kusahau nilipomsikia supervisor wangu akiniteta ofisini "fulani (mimi)anajifanya kupenda sana kazi ee anataka kuonekana bora au anautaka yeye uboss,kujishaua tuu...ngoja aizoee kazi tuone" na maneno mengine mengi mengi,.daaaahhh niligwayaaa nguvu zikaniisha looh[emoji17]nikakumbuka tuu usia wa mama yangu juu ya mambo ya makazini...
Nilijipa moyo lakini nilijiona kabisaa kiutendaji naanza kuwa mnyonge,sikuwa na hamu na kazi tena...nikajisemea mtu huyu kuna siku anaweza kuni recommend vibaya hata bila kujua,.baada ya mwaka mmoja nili resign na kufanya ustaarabu mwingine..
Oh!!Fundi PoH
Mzee umenikumbusha mbali Sana nikikumbaga nacheka tu nilivuta mkopo mrefu halafu nilichofanya kinabaki kuwa Siri yanguNilichukua mkopo nikaenda kununua vitu vya ndani mwisho wa siku nikauza vyote now sina getto nakalia vigoda .Yaani payslip ina viraka kama kondakta super sami
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kama umeshapoa, fundi wangu.Oh!!Fundi PoH
Ahsantee,nilishapoa[emoji4]
Ha haha haa HR wanguuu,.uko wapi??!Nashukuru kama umeshapoa, fundi wangu.
Cc:
Shusha vioo tafadhari, naloa mwenzio. Au haunioni fundi wanguuu!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo huku Ponda Mali..kana kwamba unioni au unanifanyia makusudi fundi!!Ha haha haa HR wanguuu,.uko wapi??!
Kwahiyo una ponda mali kufa kwaja eeh??😝Nipo huku Ponda Mali..kana kwamba unioni au unanifanyia makusudi fundi!!
Cc:
Fundiiiiii (code).
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo una ponda mali kufa kwaja eeh??[emoji13]
Nimekuelewa,.unapendeleaje?!