namba force
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 758
- 434
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh😔😒nisiposhusha vioo vya gari yangu sitakuwa binti mwerevu abadani...Acha masikhala bhana fundi....umenielewa kivipi!! Wakati vioo vya gari lako, bado umevifunga. Nimekuita kwa sauti"Fumdiiii" toka saa 9 jua kaliiii, lakini hadi sasa hivi bila bila!!
Cc:
Mbona unaninyanyasa kijinsia kiac hiki jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hao ndo watenda kazi wa "hapa kazi tu"..[emoji58][emoji29] tunaishi kwa neema za Mungu tu kwa kweliKwa mara ya kwanza kabisa naonja kuajiriwa na kuanza kazi rasmi nilikuwa najituma sana na mwenye weledi nadhani kwasababu ya kimuyemuye cha kazi,sikutaka kabisaa ujinga kwenye ishu za kazi,.kazi ilikuwa ndio mpenzi wangu mahabuba,.lakini siji kusahau nilipomsikia supervisor wangu akiniteta ofisini "fulani (mimi)anajifanya kupenda sana kazi ee anataka kuonekana bora au anautaka yeye uboss,kujishaua tuu...ngoja aizoee kazi tuone" na maneno mengine mengi mengi,.daaaahhh niligwayaaa nguvu zikaniisha looh[emoji17]nikakumbuka tuu usia wa mama yangu juu ya mambo ya makazini...
Nilijipa moyo lakini nilijiona kabisaa kiutendaji naanza kuwa mnyonge,sikuwa na hamu na kazi tena...nikajisemea mtu huyu kuna siku anaweza kuni recommend vibaya hata bila kujua,.baada ya mwaka mmoja nili resign na kufanya ustaarabu mwingine..
Kwa mara ya kwanza kabisa naonja kuajiriwa na kuanza kazi rasmi nilikuwa najituma sana na mwenye weledi nadhani kwasababu ya kimuyemuye cha kazi,sikutaka kabisaa ujinga kwenye ishu za kazi,.kazi ilikuwa ndio mpenzi wangu mahabuba,.lakini siji kusahau nilipomsikia supervisor wangu akiniteta ofisini "fulani (mimi)anajifanya kupenda sana kazi ee anataka kuonekana bora au anautaka yeye uboss,kujishaua tuu...ngoja aizoee kazi tuone" na maneno mengine mengi mengi,.daaaahhh niligwayaaa nguvu zikaniisha looh😔nikakumbuka tuu usia wa mama yangu juu ya mambo ya makazini...
Nilijipa moyo lakini nilijiona kabisaa kiutendaji naanza kuwa mnyonge,sikuwa na hamu na kazi tena...nikajisemea mtu huyu kuna siku anaweza kuni recommend vibaya hata bila kujua,.baada ya mwaka mmoja nili resign na kufanya ustaarabu mwingine..
Ni neema tuu na rehema za Mungu wetu mtukufu,.hakuna kingine,.Na hao ndo watenda kazi wa "hapa kazi tu"..[emoji58][emoji29] tunaishi kwa neema za Mungu tu kwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilipoanza tu kazi nikatupa gari la ofisi mtaroni kisa ulevi.
Sijarudi ofisini yapata mwaka, nasubiri wasahau.
.....Ooh[emoji17][emoji19]nisiposhusha vioo vya gari yangu sitakuwa binti mwerevu abadani...
Aww...🤗.....
Cc:
Sogeza sikio, nikunong'oneze kidogo. Tena njoo tusogee kule kwenye chocho letu lileeh....
Sent using Jamii Forums mobile app
Good morning Mrs PoH.Aww...[emoji847]
Good morning PoH[emoji6]
Lol😂
hahaaaahNilipoanza kazi ya kupiga kura nilikosea sana kuchagua mtu fedenga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Mara ya kwanza walijua ni mtoto wa boss kaja maana mi ndio nilikua kadogoooo, halafu tukawa tumeongozana na HR. Walikua wananituma tuma saaaana ila kiukweli niliingia nikiwa mdogo miaka 21 et officer [emoji3][emoji3]kimtindo namimi nikawa natumia advantage hiyo hiyo nikikosea nasema mtoto ndo anajifunza ruksa kukosea!
Sasa mimi ndo nikawa nawahi kila siku, naogea vizuri tu kwenye story za hapa na pale nachangia kwa adabu kabisa kumbe kila kitu nilikua location tu najibana tu wanizoee kidogo. Baada ya kujua jua kazi na kunizoea walinikoma sasa maana kiukweli mimi sijawahi kuwahi kwa chochote tangu secondary mpka U.E mi nachelewaga tu yani kila kitu mi nilikua mzee wa deadline, kwenye story mi ndo naongea pumba kuliko, yaani mimi ndo ikawa naongoza kwa zile excuse za ugonjwa, ikafika kipindi hata ofisini nafika tu kusaini naend akukaa nje kwa mlinzi mpaka time ya kutoka.Mungu sio Athumani bana wakanichoka bhana kilichonikuta nadhan mnaelewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]