Ni jambo gani lilikupa nguvu kubwa na hali ya kupambania riziki pale ulipopitia ugumu wa maisha?

Ni jambo gani lilikupa nguvu kubwa na hali ya kupambania riziki pale ulipopitia ugumu wa maisha?

MIMI BINAFSI NI MAOMBI YA WAKRISTO KANISANI, NDIYO YALIYONITOA KATIKA MAPITO MAKUBWA SANA NILIYO YAPITIA, KATIKA ENEO LA FEDHA NA UCHUMI.

ÑAMSHUKURU MUME WANGU NA WATOTO WANGU KWA KUENDELEA KUWA PAMOJA NA UPENDO INGAWA ELIMU YAO ILI RUDI NYUMA KWA KUSHINDWA KUWALIPIA ADA NA KUPOTEZA MALI ZETU HASA NYUMBA.

LAKINI KWA SASA!!!

"SISI NI WALE TULIYO BARIKIWA NA BABA"

AMINA 🙌
Hongereni na poleni kwa changamoto hizo mkuu. Mungu ni wetu sote 🙏
 
FIRST, I HAD NO OPTION WHETHER THINGS TO BE RIGHT OR WRONG
SECOND, JEREMIAH 29:11 ALWAYS GIVES COURAGE. "FOR I KNOW I HAVE PLANS FOR YOU, DECLARES THE LORD, PLANS TO PROSPER YOU AND NOT TO HARM YOU, PLANS TO GIVE HOPE AND A FUTURE."
"Trust in him". Thank you very much fam!
 
Yote wagawane had miembe na miti ya miparachichi wachukue, ng’ombe, mbuzi, kuku na bata mpk njiwa wa shamba wachukue.
Watajua wenyewe km watapangiana zamu ya kuwachunga au watauza ni juu yao.

Mwenye mali zake kashajiondokea ya nini mimi kupigana?? Tena mzee kaacha ghorofa la kuishi tabata nalo nimewaambia wachukue familia zao wakaishi nazo hapo hapo au km watauza wagawane, na shule ya sekondari ……… nayo wakitaka waiuze mpk wanafunzi wa o-level na Advance wote. Zile apartment zote wachukue..!! Na km wanapita hapa wanaona waelewe MSIMAMO wangu nilikuwa namaanisha..!!!
Nyumba za Morogoro nazo wagawane. Halafu waone km kuna kitu kitaenda kubadilika kwenye maisha yao.!! Mxieeeeww
Mmh! Hao ndugu zako wana roho za kutu asee 🤔
 
Sio moyo mgumu, ni vile wengine hatupendi makelele kwa mali ambazo mwenyewe aliyezitafuta kaziacha.!! Sasa kuanza kupeana vichomi ya kazi gani??

Nina uwezo wa kufanya kazi nikapata vyangu, sasa mali za marehemu za kazi gani??
Daah! Ni uduni, tamaa na mgando wa fikra tu ndio huwatesa watu wa namna ile.
 
Wasalamu wakuu!

Niwape hongera na pole kwa hustling za kila siku za kuhakikisha wewe binafsi na watu wako wa karibu wanafurahia juhudi zako.

Nimeleta andiko hili najua si mara ya kwanza yaweza kuwa lilishaandikwa kwa namna nyingi na wadau humu jukwani.

Hali ya kimaisha inazidi kuwa ngumu siku hadi siku, najua kwa namna moja ama nyingine kila mtu ana mbinu ama story ambayo ilimpa nguvu na hali kubwa ya kupambana hadi alipofikia kujiweka katika nafasi nzuri ya kujihakikishia ameupunguza ugumu wa maisha kwa kiasi kikubwa.

Hali hii ya ugumu wa maisha imewafanya watu wengi waone hata suala la kuoa na kuwa na familia ni anasa.

Sasa enyi ma-malejendi na wakongwe tupeni mbinu ama story zilizowafanya muupunguze huu ugumu. Jambo au story yako inaweza kuwa silaha kubwa ya kumtoa mtu mwingine sehemu moja kwenda nyingine.

Asanteni sana na karibuni 🫶
Kwanza kabisa elewa kuwa "riziki" haipambaniwi wala haipiganiwi, ukiwa na mawazo hayo utaishia kwenye ujambazi na uhalifu mwengine.
 
Kifo cha nyani miti yote uteleza, mwaka 2021 proved me that the hell is under the sun and are some kind of people,the same as the paradise.

Niliacha kazi nifanye biashara nikitegemea mwenzangu atanipushi, lakini akala nyoya na kila kitu, akiba iliyokuwepo nikatoa bank ili nipate makazi nayo nikapoteza mazingira tatanishi,nikauza laptop, iPad na simu,nikatoweka mitandaoni, nilishiriki stories of changes nikawa miongoni mwa washindi lakini wahusika wakashindwa kuwasiliana nami, Hakuna kuuona ujumbe two weeks later, walifanya jitihada kunitafuta hadi instagram ndio Kwanzaa ujumbe nimeuona mwaka huu, ah, it was epic walahi.

Sikuwa na choice tofauti bali kubaki katika lengo, oh Mungu sio Mwigulu, kila day na achieve.
Daah pole sana mkuu! Life linaumiza sana asee.
 
Historia ya ukoo kwamba babu, baba na wote waliopita nyuma yangu had never been granted spoon feed to get there ila wali hustle, so that it self gave me power. Alafu kingine ni kwamba, kwenye ukoo, kila ambaye sio mvivu anafanikiwa, hio ilinipa nguvu zaidi. Yaani tusisubiri kupewa, kusaidiwa and all, tufanye kazi jamani, umaskini unaondoka wenyewe.
Nice advice from you fam! Tukaze sana. 🙏
 
Back
Top Bottom