cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Kwangu ni tofauti haikuwa sababu ya kupambania Ridhiki. Ila kupambania furaha, amani na utulivu wa akili, mwili, na mazingira yanayonizungukaa.
Niliwahi kukumbwa na jambo, sio zuri machoni Pa watu, ila km mwanadamu nina mapungufu. Nilifikia hatua ya kuona Dunia imefika mwsho,
Lakini akatokea kijana m1 akanibadilisha fikra, mtazamo na hata mawazo kiujumla, alinifundisha vingi mnoo kuhusu maisha tena ktk nyanza zotee, coca huyu wa Leo zaidi ya 55% ametokanaa na yeye.
Popote ulipo M, uzidishiwe kwa kila unachohitajii, ubarikiwe sanaa Kaka, natamani kukuona tena, nikupe shukrani yangu ya dhati kwako.
........
Niliwahi kukumbwa na jambo, sio zuri machoni Pa watu, ila km mwanadamu nina mapungufu. Nilifikia hatua ya kuona Dunia imefika mwsho,
Lakini akatokea kijana m1 akanibadilisha fikra, mtazamo na hata mawazo kiujumla, alinifundisha vingi mnoo kuhusu maisha tena ktk nyanza zotee, coca huyu wa Leo zaidi ya 55% ametokanaa na yeye.
Popote ulipo M, uzidishiwe kwa kila unachohitajii, ubarikiwe sanaa Kaka, natamani kukuona tena, nikupe shukrani yangu ya dhati kwako.
........