Ni jambo gani lililofanyika Mbeya mjini wanaweza kujivunia tangu Dkt. Tulia awe mbunge? anatufaa tena 2025?

Ni jambo gani lililofanyika Mbeya mjini wanaweza kujivunia tangu Dkt. Tulia awe mbunge? anatufaa tena 2025?

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Uchaguzi mkuu wa Mwaka 2020 Dkt. Tulia Ackson, kupitia CCM alitangazwa kuwa mshindi wa Ubunge wa jimbo hilo kwa kupata kura 75,225 akimshinda aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi (Sugu) akipata kura 37,591.

Baada ya Dkt. Tulia kuwa mbunge wanaCCM wamekuwa wakijitapa sana kama vile yamefanyika ya kutisha Mbeya inafikia hatua mpaka wanasema maeneo mengine wanatamani Tulia akagombee maeneo yao ili awe mbunge huko, sijui ni akija nani wanaomtamani mbunge ambaye ni Spika wa bunge amefeli kushughulikia changamoto za jiji. Barabara zimechoka kiasi kwamba ukifika ukaambiwa ni jiji ni kama unatukanwa tu.

Pia soma: Meya wa jiji la Mbeya: Kila mtanzania anatamani Dkt. Tulia awe mbunge wa jimbo lake, Mbeya mkikataa aendelee atagombea jimbo lolote atashinda

Stuxnet Tulia anastahili kuwa mbunge kwa awamu ya pili?
1741941709244.png
1741941918696.png
 

Attachments

  • 1741941779934.png
    1741941779934.png
    4.9 MB · Views: 1
Uchaguzi mkuu wa Mwaka 2020 Dkt. Tulia Ackson, kupitia CCM alitangazwa kuwa mshindi wa Ubunge wa jimbo hilo kwa kupata kura 75,225 akimshinda aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi (Sugu) akipata kura 37,591.

Baada ya Dkt. Tulia kuwa mbunge wanaCCM wamekuwa wakijitapa sana kama vile yamefanyika ya kutisha Mbeya inafikia hatua mpaka wanasema maeneo mengine wanatamani Tulia akagombee maeneo yao ili awe mbunge huko, sijui ni akija nani wanaomtamani mbunge ambaye ni Spika wa bunge amefeli kushughulikia changamoto za jiji. Barabara zimechoka kiasi kwamba ukifika ukaambiwa ni jiji ni kama unatukanwa tu.

Pia soma: Meya wa jiji la Mbeya: Kila mtanzania anatamani Dkt. Tulia awe mbunge wa jimbo lake, Mbeya mkikataa aendelee atagombea jimbo lolote atashinda

Stuxnet Tulia anastahili kuwa mbunge kwa awamu ya pili?
View attachment 3270010View attachment 3270013

1741943351261.png

Huyu mwamba , zaidi ya kidole cha kati, mlichokifurahia sana katika miaka yake kumi aliyo kaa Mbeya mjini kama mbunge, alifanya nini cha maana?
 
Uchaguzi mkuu wa Mwaka 2020 Dkt. Tulia Ackson, kupitia CCM alitangazwa kuwa mshindi wa Ubunge wa jimbo hilo kwa kupata kura 75,225 akimshinda aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi (Sugu) akipata kura 37,591.

Baada ya Dkt. Tulia kuwa mbunge wanaCCM wamekuwa wakijitapa sana kama vile yamefanyika ya kutisha Mbeya inafikia hatua mpaka wanasema maeneo mengine wanatamani Tulia akagombee maeneo yao ili awe mbunge huko, sijui ni akija nani wanaomtamani mbunge ambaye ni Spika wa bunge amefeli kushughulikia changamoto za jiji. Barabara zimechoka kiasi kwamba ukifika ukaambiwa ni jiji ni kama unatukanwa tu.

Pia soma: Meya wa jiji la Mbeya: Kila mtanzania anatamani Dkt. Tulia awe mbunge wa jimbo lake, Mbeya mkikataa aendelee atagombea jimbo lolote atashinda

Stuxnet Tulia anastahili kuwa mbunge kwa awamu ya pili?
View attachment 3270010View attachment 3270013
Hanna alichokifanya
 
View attachment 3270026
Huyu mwamba , zaidi ya kidole cha kati, mlichokifurahia sana katika miaka yake kumi aliyo kaa Mbeya mjini kama mbunge, alifanya nini cha maana?
Elewa uzi, sijazungumzia alichofanya Sugu wakati wake, Mbunge wa sasa ni Tulia na kipi cha maana anachotushawishi yeye aendelee kuwa mbunge tena
 
Uchaguzi mkuu wa Mwaka 2020 Dkt. Tulia Ackson, kupitia CCM alitangazwa kuwa mshindi wa Ubunge wa jimbo hilo kwa kupata kura 75,225 akimshinda aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi (Sugu) akipata kura 37,591.

Baada ya Dkt. Tulia kuwa mbunge wanaCCM wamekuwa wakijitapa sana kama vile yamefanyika ya kutisha Mbeya inafikia hatua mpaka wanasema maeneo mengine wanatamani Tulia akagombee maeneo yao ili awe mbunge huko, sijui ni akija nani wanaomtamani mbunge ambaye ni Spika wa bunge amefeli kushughulikia changamoto za jiji. Barabara zimechoka kiasi kwamba ukifika ukaambiwa ni jiji ni kama unatukanwa tu.

Pia soma: Meya wa jiji la Mbeya: Kila mtanzania anatamani Dkt. Tulia awe mbunge wa jimbo lake, Mbeya mkikataa aendelee atagombea jimbo lolote atashinda

Stuxnet Tulia anastahili kuwa mbunge kwa awamu ya pili?
View attachment 3270010View attachment 3270013
Angefaa ila yapo mambo yamenifanya asiwe shabiki yangu nasiwezi andika hapa Mungu atahukumu mwenyewe.
 
Uchaguzi mkuu wa Mwaka 2020 Dkt. Tulia Ackson, kupitia CCM alitangazwa kuwa mshindi wa Ubunge wa jimbo hilo kwa kupata kura 75,225 akimshinda aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi (Sugu) akipata kura 37,591.

Baada ya Dkt. Tulia kuwa mbunge wanaCCM wamekuwa wakijitapa sana kama vile yamefanyika ya kutisha Mbeya inafikia hatua mpaka wanasema maeneo mengine wanatamani Tulia akagombee maeneo yao ili awe mbunge huko, sijui ni akija nani wanaomtamani mbunge ambaye ni Spika wa bunge amefeli kushughulikia changamoto za jiji. Barabara zimechoka kiasi kwamba ukifika ukaambiwa ni jiji ni kama unatukanwa tu.

Pia soma: Meya wa jiji la Mbeya: Kila mtanzania anatamani Dkt. Tulia awe mbunge wa jimbo lake, Mbeya mkikataa aendelee atagombea jimbo lolote atashinda

Stuxnet Tulia anastahili kuwa mbunge kwa awamu ya pili?
View attachment 3270010View attachment 3270013
Zaidi ya kula hajafanya kingine.
 
Uchaguzi mkuu wa Mwaka 2020 Dkt. Tulia Ackson, kupitia CCM alitangazwa kuwa mshindi wa Ubunge wa jimbo hilo kwa kupata kura 75,225 akimshinda aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi (Sugu) akipata kura 37,591.

Baada ya Dkt. Tulia kuwa mbunge wanaCCM wamekuwa wakijitapa sana kama vile yamefanyika ya kutisha Mbeya inafikia hatua mpaka wanasema maeneo mengine wanatamani Tulia akagombee maeneo yao ili awe mbunge huko, sijui ni akija nani wanaomtamani mbunge ambaye ni Spika wa bunge amefeli kushughulikia changamoto za jiji. Barabara zimechoka kiasi kwamba ukifika ukaambiwa ni jiji ni kama unatukanwa tu.

Pia soma: Meya wa jiji la Mbeya: Kila mtanzania anatamani Dkt. Tulia awe mbunge wa jimbo lake, Mbeya mkikataa aendelee atagombea jimbo lolote atashinda

Stuxnet Tulia anastahili kuwa mbunge kwa awamu ya pili?
View attachment 3270010View attachment 3270013
Tulia hastahili kabisa kuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini kwa vile hana uwezo wa kubadili mustabali wa uchumi, moundombinu na maisha ya wana Mbeya.

Usidanganyike kuwa alishinda kura mwaka 2020 bali aliwekwa tu Mwendazake kwa sababu zake. Oktoba 2025 ni Polisi na Tume ya Uchaguzi tu ndizo zinaweza kumpitisha Tulia kuwa mbunge wa Mbeya. Kimsingi HATUMTAKI
 
Elewa uzi, sijazungumzia alichofanya Sugu wakati wake, Mbunge wa sasa ni Tulia na kipi cha maana anachotushawishi yeye aendelee kuwa mbunge tena
Nafikiri wewe si mwenyeji wa Mbeya na unahadithiwa tu.
Naamini hujaona ujenzi wa barabara mpya Uyole hadi mjini.
Linganisha na mshamba wako aliye udatisha mkoa kwa miaka 10.
 
Back
Top Bottom