The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
- Thread starter
-
- #21
Kuna wale wanaosema wananchi wa majimbo mengine wanamtamani kwa kuwa anafanya makubwa, sijui ni makubwa ganiTulia hastahili kabisa kuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini kwa vile hana uwezo wa kubadili mustabali wa uchumi, moundombinu na maisha ya wana Mbeya.
Usidanganyike kuwa alishinda kura mwaka 2020 bali aliwekwa tu Mwendazake kwa sababu zake. Oktoba 2025 ni Polisi na Tume ya Uchaguzi tu ndizo zinaweza kumpitisha Tulia kuwa mbunge wa Mbeya. Kimsingi HATUMTAKI
Swala la barabara ya njia limepigiwa kelele kitambo, na mradi umekuja kuanza kimkakati kipindi cha uchaguzi baada ya hapo mnaula wa chuyaNafikiri wewe si mwenyeji wa Mbeya na unahadithiwa tu.
Naamini hujaona ujenzi wa barabara mpya Uyole hadi mjini.
Linganisha na mshamba wako aliye udatisha mkoa kwa miaka 10.
Naona aibuHuoni kitu
Kwani tulia ndo kabomoa hizo barabara? Kazikuta kwa sugu, sasa sugu alifanya nini wakati wake husemi.Huyu bibi amekalia ushirikana tupu
SureUshirikina, marathon na ngoma za kitamaduni. Upuuzi mtupu
Sugu yupo TARURA au TANROAD?Kwani tulia ndo kabomoa hizo barabara? Kazikuta kwa sugu, sasa sugu alifanya nini wakati wake husemi.
Na sugu pia alifanya Nini?Uchaguzi mkuu wa Mwaka 2020 Dkt. Tulia Ackson, kupitia CCM alitangazwa kuwa mshindi wa Ubunge wa jimbo hilo kwa kupata kura 75,225 akimshinda aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi (Sugu) akipata kura 37,591.
Baada ya Dkt. Tulia kuwa mbunge wanaCCM wamekuwa wakijitapa sana kama vile yamefanyika ya kutisha Mbeya inafikia hatua mpaka wanasema maeneo mengine wanatamani Tulia akagombee maeneo yao ili awe mbunge huko, sijui ni akija nani wanaomtamani mbunge ambaye ni Spika wa bunge amefeli kushughulikia changamoto za jiji. Barabara zimechoka kiasi kwamba ukifika ukaambiwa ni jiji ni kama unatukanwa tu.
Pia soma: Meya wa jiji la Mbeya: Kila mtanzania anatamani Dkt. Tulia awe mbunge wa jimbo lake, Mbeya mkikataa aendelee atagombea jimbo lolote atashinda
Stuxnet Tulia anastahili kuwa mbunge kwa awamu ya pili?
View attachment 3270010View attachment 3270013
Tatizo watanzania wengi hawana elimu hawajui majukumu ya mbunge ni Nini hayo yote uliyoyaeleza sio majukumu ya mbungeUchaguzi mkuu wa Mwaka 2020 Dkt. Tulia Ackson, kupitia CCM alitangazwa kuwa mshindi wa Ubunge wa jimbo hilo kwa kupata kura 75,225 akimshinda aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi (Sugu) akipata kura 37,591.
Baada ya Dkt. Tulia kuwa mbunge wanaCCM wamekuwa wakijitapa sana kama vile yamefanyika ya kutisha Mbeya inafikia hatua mpaka wanasema maeneo mengine wanatamani Tulia akagombee maeneo yao ili awe mbunge huko, sijui ni akija nani wanaomtamani mbunge ambaye ni Spika wa bunge amefeli kushughulikia changamoto za jiji. Barabara zimechoka kiasi kwamba ukifika ukaambiwa ni jiji ni kama unatukanwa tu.
Pia soma: Meya wa jiji la Mbeya: Kila mtanzania anatamani Dkt. Tulia awe mbunge wa jimbo lake, Mbeya mkikataa aendelee atagombea jimbo lolote atashinda
Stuxnet Tulia anastahili kuwa mbunge kwa awamu ya pili?
View attachment 3270010View attachment 3270013
Kama Sugu hakufanya, basi sasahivi ni Tulia amefanya nini?Kwani tulia ndo kabomoa hizo barabara? Kazikuta kwa sugu, sasa sugu alifanya nini wakati wake husemi.
Sugu moto chini, ahaaa ni nani??? SuguuuuView attachment 3270026
Huyu mwamba , zaidi ya kidole cha kati, mlichokifurahia sana katika miaka yake kumi aliyo kaa Mbeya mjini kama mbunge, alifanya nini cha maana?
Wote hao ni walevi wa pombe za kienyeji. Tulia kila msiba anahudhuria na kuwapa hela ya pombeKuna wale wanaosema wananchi wa majimbo mengine wanamtamani kwa kuwa anafanya makubwa, sijui ni makubwa gani
Na nani alipiga hizo keleleSwala la barabara ya njia limepigiwa kelele kitambo, na mradi umekuja kuanza kimkakati kipindi cha uchaguzi baada ya hapo mnaula wa chuya