Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
Binafsi the most irritating question ambalo nimevuka nalo ni;
1. KADCO ni ya serikali ama si ya serikali? Hili swali linanisumbua sana japo likajitokeza la nyongeza huku tukiwa tunakatiza mwaka nalo ni, KADCO ikitoa ufafanuzi inaongea kwa niaba ya serikali ama kwa niaba yake?
Mwenye most irritating swali ambalo halikujibiwa na mamlaka sawasawa mwaka jana aweke tu hapa tujikumbushe, labda zitarudi ndani ya huu mwaka zitujibu.
1. KADCO ni ya serikali ama si ya serikali? Hili swali linanisumbua sana japo likajitokeza la nyongeza huku tukiwa tunakatiza mwaka nalo ni, KADCO ikitoa ufafanuzi inaongea kwa niaba ya serikali ama kwa niaba yake?
Mwenye most irritating swali ambalo halikujibiwa na mamlaka sawasawa mwaka jana aweke tu hapa tujikumbushe, labda zitarudi ndani ya huu mwaka zitujibu.