Ni jambo jema kuona hata wana CCM wamechangia Lissu apate gari, pia inatufanya tuwafahamu viongozi wenye roho mbaya na chuki

Katika hali hiyo pia tumeona vijana wadogo waliopewa uongozi wanatoka adharani na kupinga asipewe michango. Ukiwauliza aliwakosea hakuna mwenye majibu. Lakini pia ukiwauliza endapo angefariki wangenufaika nini majibu hakuna.
Hahaha kazi kweli kweli
 
Tutamchangia lissu. Yeye ni alama ya upendo katika nchi

Huko tuenako tutaifumua hii nchi na kufuma upya kuleta uhuru haki na uwajbikajii
 
kujilipa kwa fedheha kwa kuombaomba nayo ni aibu sana ndugu zangu, lakini ndio mazoea yalivyo...

Tumuombe Mungu bila kuchoka, hawa wengine tunawabebesha mzingo wasiyostahili kwakweli
Hakuna aliyelazimishwa kutoa,na wazo hilo limetoka watu waliyoguswa na madhila aliyopitia. Kama hujaguswa wewe kausha tu hakuna mtu atakugongea mlango kuomba mchango wako.
 
Hakuna aliyelazimishwa kutoa,na wazo hilo limetoka watu waliyoguswa na madhila aliyopitia. Kama hujaguswa wewe kausha tu hakuna mtu atakugongea mlango kuomba mchango wako.
kuepuka mazoea haya ya kuombaomba na kuchangiwa mara kwa mara, ambayo kwakweli sio tabia nzuri kwa mtu mzima, ni muhimu zaidi kujifunza kujitegemea kwa kufanya kazi kwa bidii, ili kujiogezea kipato na mali zitakazo epusha usumbufu kwa jamii na fedheha kwa familia na Taifa kwa ujumla
 
Mmeanzia kuchangia usenge sasa ila anyways kila mtu na mawazo yake.
 
Tundu Lissu hana njaa kama wewe na bado tutachanga kumuongezea zingine hata kama akienda kuhonga mchepuko ni yeye ila jukumu la kumchangia kwa wale tulio tayari ni letu na tusipangiwe na mtu matumizi ya fedha zetu
 
Lissu anajiweza ila tunachangia kwa ajili ya kumsaidia kuratibu kwa uwepesi shughuli za uokozi wa nchi hii dhidi ya kuuzwa na madalali
 
Nchi ya ajabu sana hii.
Akiwa kitandani lisu aliitwa majina mabaya na ya kufedhehesha mno.aliporwa mpaka ubunge ili kumfurahisha mkubwa " ati sijui alipo" sasa aliyempora yupo wapi?
TUTACHANGA
Cc: Job Yustino Ndugai.
 
H
HUnaga akili
 
 
Lissu anajiweza ila tunachangia kwa ajili ya kumsaidia kuratibu kwa uwepesi shughuli za uokozi wa nchi hii dhidi ya kuuzwa na madalali
inafahamika ana jiweza ana afya njema ana uwezo wa kufanya kazi ila sasa mazoea haya ya hovyo sijui ameyapata wapi, Dodoma eee kwa jirani zake?

aibu sana,
yaani kaisha pona, kalipwa mishahara yote, kalipwa marupurupu yake yote, kalipwa pesa ya matibabu, kalipwa kiunua mgongo, kufadhiliwa mambo kibao na mabwenyenye for Free 🤣

hivi kweli hakujua atahitaji gari ya kufanyia kazi na majukumu yake 🤣

Ladies and gentlemen,
wahenga walisema,

"Mazoea yana Tabu"
ndio hii sasa na mtu anatetea kabisa aibu na fedheha hii dah 🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…