mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Hali hii naona ifike mahali itazamwe kwa jicho la tatu. Ukiwatazama hawa wanaojiita Mitume hasa kwa hapa DSM, kwa kweli kuna utata mno kwao, na kwenye baadhi ya shuhuda za wafuasi wao.
Kwa akili ya kawaida tu ni wazi kuna watu wafuasi wanatoa shuhuda za uongo na sijajua ni kwa maslahi ya nani.
Kama raia huru kikatiba, nina haki ya kuhoji na kuwa na wasiwasi pale ninapoona baadhi ya mambo kwenye nchi yangu si ya kawaida.
Kuna haja ya hawa wafuasi wanaotoa hizi shuhuda kuanza kufuatiliwa kwa makini, ili kuhakikisha ni kweli au ni uongo, ukizingatia kwamba shuhuda nyingi ni kama 'vituko' kwa kweli.
Kwa akili ya kawaida tu ni wazi kuna watu wafuasi wanatoa shuhuda za uongo na sijajua ni kwa maslahi ya nani.
Kama raia huru kikatiba, nina haki ya kuhoji na kuwa na wasiwasi pale ninapoona baadhi ya mambo kwenye nchi yangu si ya kawaida.
Kuna haja ya hawa wafuasi wanaotoa hizi shuhuda kuanza kufuatiliwa kwa makini, ili kuhakikisha ni kweli au ni uongo, ukizingatia kwamba shuhuda nyingi ni kama 'vituko' kwa kweli.