Ni jambo la hatari sana kuwa waimbaji wa dini wajenzi huru

Ni jambo la hatari sana kuwa waimbaji wa dini wajenzi huru

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,325
Reaction score
7,807
Kuna video moja nimeona ambayo mchungaji mmoja simjui akimzungumzia swala la muimbaji wa injili matha na Joan kuwafuma wakifanya usagaji yeye matha alikiri kuwa ni kweli ni walikuwa kwenye mapenzi

Mchungaji alitumia neno "tuliwafuma live" inawezekana jirani walisikia sauti za mahaba ikabidi wasogee waone Kuna Nini ukawa ndio hivyo

Ishu iyo imenishtua sana lakini imenishutua zaidi baada ya matha kufumwa alisema neno "tupo wengi" tunafanya hivi vitendo.

Swali ni wakina nani hawa wanafanya laana hizi.

Siku za hivi karibuni nilimsikia mchungaji abiudi akisema Kuna waimbaji wanafanya ushoga.

Ishu ya matha imenifikirisha sana kama yeye alikiri kuwa wapo wengi bila shaka waimbaji wa dini mashoga wapo Je ni wakina nani hawa?

Ni rahisi kuwajua manabii wa uongo kama biblia ilivyosema.

Ila ni ngumu kuwajua waimbaji wa uongo sababu biblia haijawataja waimbaji feki

Jibu hili sasa nimelipata sasa ipo hivi manabii feki na waimbaji feki ni Pete na kidole hawatofautiani inaonekana Wana umoja wao hawachukui mtu nje ya mtu wao

Tuwachunguze sana Hawa waimbaji wanao hudumu kwenye mikesha ya injili ya manabii kama ni real au scam?
 
M
Kuna video moja nimeona ambayo mchungaji mmoja simjui akimzungumzia swala la muimbaji wa injili matha na Joan kuwafuma wakifanya usagaji yeye matha alikiri kuwa ni kweli ni walikuwa kwenye mapenzi

Mchungaji alitumia neno "tuliwafuma live" inawezekana jirani walisikia sauti za mahaba ikabidi wasogee waone Kuna Nini ukawa ndio hivyo

Ishu iyo imenishtua sana lakini imenishutua zaidi baada ya matha kufumwa alisema neno "tupo wengi" tunafanya hivi vitendo
Swali ni wakina nani hawa wanafanya laana hizi
Siku za hivi karibuni nilimsikia mchungaji abiudi akisema Kuna waimbaji wanafanya ushoga
Ishu ya matha imenifikirisha sana kama yeye alikiri kuwa wapo wengi bila shaka waimbaji wa dini mashoga wapo Je ni wakina nani hawa?
Ni rahisi kuwajua manabii wa uongo kama biblia ilivyosema
Ila ni ngumu kuwajua waimbaji wa uongo sababu biblia haijawataja waimbaji feki

Jibu hili sasa nimelipata sasa ipo hivi manabii feki na waimbaji feki ni Pete na kidole hawatofautiani inaonekana Wana umoja wao hawachukui mtu nje ya mtu wao

Tuwachunguze sana Hawa waimbaji wanao hudumu kwenye mikesha ya injili ya manabii kama ni real au scam?


Kwenye mziki wa injili kuna wajenzi huru wengi. Yaani baadhi ya hawa na manabii lao moja. Siwaamibi sana ni mlango mwingine wa kupeleka watu kwa shetani.
 
Kuna video moja nimeona ambayo mchungaji mmoja simjui akimzungumzia swala la muimbaji wa injili matha na Joan kuwafuma wakifanya usagaji yeye matha alikiri kuwa ni kweli ni walikuwa kwenye mapenzi

Mchungaji alitumia neno "tuliwafuma live" inawezekana jirani walisikia sauti za mahaba ikabidi wasogee waone Kuna Nini ukawa ndio hivyo

Ishu iyo imenishtua sana lakini imenishutua zaidi baada ya matha kufumwa alisema neno "tupo wengi" tunafanya hivi vitendo
Swali ni wakina nani hawa wanafanya laana hizi
Siku za hivi karibuni nilimsikia mchungaji abiudi akisema Kuna waimbaji wanafanya ushoga
Ishu ya matha imenifikirisha sana kama yeye alikiri kuwa wapo wengi bila shaka waimbaji wa dini mashoga wapo Je ni wakina nani hawa?
Ni rahisi kuwajua manabii wa uongo kama biblia ilivyosema
Ila ni ngumu kuwajua waimbaji wa uongo sababu biblia haijawataja waimbaji feki

Jibu hili sasa nimelipata sasa ipo hivi manabii feki na waimbaji feki ni Pete na kidole hawatofautiani inaonekana Wana umoja wao hawachukui mtu nje ya mtu wao

Tuwachunguze sana Hawa waimbaji wanao hudumu kwenye mikesha ya injili ya manabii kama ni real au scam?

Ujinga tu. I never expected anything positive from them anyways
 
M



Kwenye mziki wa injili kuna wajenzi huru wengi. Yaani baadhi ya hawa na manabii lao moja. Siwaamibi sana ni mlango mwingine wa kupeleka watu kwa shetani.
Nimeingia mashaka na hao waimbaji wanaozunguka na manabii Kuna huyu mwingine alienda kuhudumia kwa chief godlove halafu mwisho akajifanya analia lia sijui hakujua kinachoendelea
Uzi huu tuwataje waimbaji wote waimbaji wa injili ambao ni scam
 
Kuna video moja nimeona ambayo mchungaji mmoja simjui akimzungumzia swala la muimbaji wa injili matha na Joan kuwafuma wakifanya usagaji yeye matha alikiri kuwa ni kweli ni walikuwa kwenye mapenzi

Mchungaji alitumia neno "tuliwafuma live" inawezekana jirani walisikia sauti za mahaba ikabidi wasogee waone Kuna Nini ukawa ndio hivyo

Ishu iyo imenishtua sana lakini imenishutua zaidi baada ya matha kufumwa alisema neno "tupo wengi" tunafanya hivi vitendo
Swali ni wakina nani hawa wanafanya laana hizi
Siku za hivi karibuni nilimsikia mchungaji abiudi akisema Kuna waimbaji wanafanya ushoga
Ishu ya matha imenifikirisha sana kama yeye alikiri kuwa wapo wengi bila shaka waimbaji wa dini mashoga wapo Je ni wakina nani hawa?
Ni rahisi kuwajua manabii wa uongo kama biblia ilivyosema
Ila ni ngumu kuwajua waimbaji wa uongo sababu biblia haijawataja waimbaji feki

Jibu hili sasa nimelipata sasa ipo hivi manabii feki na waimbaji feki ni Pete na kidole hawatofautiani inaonekana Wana umoja wao hawachukui mtu nje ya mtu wao

Tuwachunguze sana Hawa waimbaji wanao hudumu kwenye mikesha ya injili ya manabii kama ni real au scam?
alimtaja jina?
 
Dini ya wajenzi huru inaamini nini??
 
Tatizo mnasahau kuwa hapa ni duniani badala yake mnataka kufeki kuwa paradiso.

Hao ni watu tu kama ilivyo kwa binadamu mwingine yyt.

Halafu ,kufuatilia na kujua ukweli wa undani wa faragha ya mtu ni kazi sana vile hatufanyi hadharani , vinginevyo teknolojia ihusike labda.

Hukumu ni ya Mungu mwenyewe
 
Dini ni Scam, dini ni ujinga, dini ni chanzo cha ubaguzi na ni chanzo cha vita, dini huleta hofu kwa mwanadamu na kumnyima Uhuru aliojaliwa na Muumba.
 
Back
Top Bottom