Ni jambo la hatari sana kuwa waimbaji wa dini wajenzi huru

Ni jambo la hatari sana kuwa waimbaji wa dini wajenzi huru

Unapoteza muda.

Bibi zako kule kijijini wanakufa kwa kuhara na maji ya vidimbwi nenda ukawakomboe badala ya kufoka mitandaoni.

Mbunye ya Matha hata ikisagwa na jembe haiwezi kuwakomboa bibi zako wanaoteseka mashimoni.

Makinika ewe MTANGANYIKA UCHWARA.

Cc: Nyani Ngabu
Acha ujuaji au na wewe unasagwa.
Kizazi kimejaa laana hichi
 
Dini ni Scam, dini ni ujinga, dini ni chanzo cha ubaguzi na ni chanzo cha vita, dini huleta hofu kwa mwanadamu na kumnyima Uhuru aliojaliwa na Muumba.
Mimi ni mkristo Dini ya kikristo haijawahi kuwa ya ubaguzi
 
Nini maana ya wajenzi huru?
Bila shaka ni freemason.
Kuamini kuwa Martha ni freemason ni uzwazwa wa kiwango cha SGR.
Kuaminini kuwa kila shoga na msagaji ni freemason, ni upungufu wa akili.
 
Sio busara kuchafua watu mambo mengine kuwa mtazamaji tu.

Ikiwa hauna uhakika na jambo bora ukae kimya

Hao wachungaji 90% wanatafuta wafuasi wa kuwasikiliza na kupiga hela.
 
Kuna video moja nimeona ambayo mchungaji mmoja simjui akimzungumzia swala la muimbaji wa injili matha na Joan kuwafuma wakifanya usagaji yeye matha alikiri kuwa ni kweli ni walikuwa kwenye mapenzi

Mchungaji alitumia neno "tuliwafuma live" inawezekana jirani walisikia sauti za mahaba ikabidi wasogee waone Kuna Nini ukawa ndio hivyo

Ishu iyo imenishtua sana lakini imenishutua zaidi baada ya matha kufumwa alisema neno "tupo wengi" tunafanya hivi vitendo.

Swali ni wakina nani hawa wanafanya laana hizi.

Siku za hivi karibuni nilimsikia mchungaji abiudi akisema Kuna waimbaji wanafanya ushoga.

Ishu ya matha imenifikirisha sana kama yeye alikiri kuwa wapo wengi bila shaka waimbaji wa dini mashoga wapo Je ni wakina nani hawa?

Ni rahisi kuwajua manabii wa uongo kama biblia ilivyosema.

Ila ni ngumu kuwajua waimbaji wa uongo sababu biblia haijawataja waimbaji feki

Jibu hili sasa nimelipata sasa ipo hivi manabii feki na waimbaji feki ni Pete na kidole hawatofautiani inaonekana Wana umoja wao hawachukui mtu nje ya mtu wao

Tuwachunguze sana Hawa waimbaji wanao hudumu kwenye mikesha ya injili ya manabii kama ni real au scam?
Do what makes you happy,achana na mambo ya watu,tatua changamoto zako mwenyewe.
 
Unapoteza muda.

Bibi zako kule kijijini wanakufa kwa kuhara na maji ya vidimbwi nenda ukawakomboe badala ya kufoka mitandaoni.

Mbunye ya Matha hata ikisagwa na jembe haiwezi kuwakomboa bibi zako wanaoteseka mashimoni.

Makinika ewe MTANGANYIKA UCHWARA.

Cc: Nyani Ngabu
Tena kile kinyama hakina thamani ya dhahabu eti tutetemeke watu kusagana,watajua wenyewe mbona tunaibiwa maeneo mengi tuu,tunapigwa riba mtaani sembuse hao wanakutanisha miili tuu,it's a small matter.
 
Hivi unafurahiaje matatizo ya mwenzio, halafu taarifa yenyewe ni speculation tuu. Watu tunapenda sana kuhukumu aisee na je umewahi hata kuwaombea katika Utumishi wao au tunasubiri mtu akosee tupate content?
 
Mwenye macho haambiwi tazama kinachofanyika kwenye industries ya muziki wa injili kinatia mashaka
Hivi unafurahiaje matatizo ya mwenzio, halafu taarifa yenyewe ni speculation tuu. Watu tunapenda sana kuhukumu aisee na je umewahi hata kuwaombea katika Utumishi wao au tunasubiri mtu akosee tupate content?
 
Waafrica wapo karibu na dini Ila hawapo karibu na MUNGU hii huwafanya kuhukumu watu bila ushahidi.
 
Ishu ya matha imenifikirisha sana kama yeye alikiri kuwa wapo wengi bila shaka waimbaji wa dini mashoga wapo Je ni wakina nani hawa?

Ni rahisi kuwajua manabii wa uongo kama biblia ilivyosema.

Ila ni ngumu kuwajua waimbaji wa uongo sababu biblia haijawataja waimbaji feki
Rev Mdegela alisema kuna wahuni wamefichama makanisani
 
Back
Top Bottom