Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,604
- 3,715
Kabla sijatoa sababu za kwanini ni ngumu sana kuiondoa ccm madarakani nitaorodhesha majina ya wababe waliowahi kujaribu kuiondoa ccm madarakani na Hali zao kwa sasa ,1995 ndio Kila mtu aliamini kazi imekwisha ,wanasiasa nguli walijiondoa ccm na kuunda ngome imara Sana ya ushindani na Kila mtu aliamini ccm imeondoka ,Augustine mrema,makongoro Nyerere ,mabele marando ,Christopher mtikila ,mzee mtei ,sengondo mvungi ,na makachero kadhaa kutoka ccm waliibomoa kabisa ccm Kila mahali lakini mwisho waliangukia pua ,2000-2005...freeman mbowe..chacha wangwe .Christopher mtikila ..dk wilbroad slaa ! Zitto kabwe ..jemsi mbatia,mabere marando ,Augustine mrema ,samson mwigamba...na wengine wengi Bado waliangukia pua japo 2005 ushindani haukuwa mkubwa sana...2015 --2020 Edward lowassa ,Bernard membe ,zitto kabwe ,freeman mbowe ,na vichwa vingi kibao lakini Bado waliangukia pua ...hivyo ndio vilikuwa vizazi chuma ,miamba kweli kweli ,watu wabishi ,wakiamua lao liwe linakuwa ,Hawa jamaa walikuwa wakiamua ni maandamano hakuna wakuwazuia ,najiuliza kizazi hiki Cha akina mnyika kitaweza kuiondoa ccm madarakani kwa sanduku la kura ? Tuimalishe vyama kwa ajili ya kukidhi matakwa ya kidemokrasia lakini tuachane na mawazo ya kuiondoa ccm madarakani haitawezekana kwa kizazi hiki Cha watu waoga kupitiliza na vijana wa hovyo kuwahi kutokea !!