Ni jambo moja tu linaloweza kumfanya mwanaume kamili akalia

Tena upate zile nene imeumuka ka mkate wa bofulo uliochachushwa, ya motoooo na mafuta mafuta natural inakutaiti mbona chozi litakutoka tu bila kupenda ng'wanawane? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa wewe wanaume wenzio wakilia unawaonea wivu kwa nini na wewe usilie hata Kama machozi huna uweke maji huko ulipo
 
Huyo uliyemzamilia kumshambulia kutoka moyoni kwa fasihi zako za kishamba umegonga mwamba hauwezi ukagombanisha watu kwa upumbavu wako......ndo watu Kama sisi tunakwambia urudi ukakae sawa ili uje tena kivingine
 
Kutekwa na kupata mateso hyo kitu haipaswi kukutoa machozi ...!

Ukiminywa mf pumbu Apo unapiga kelele za maumivu lakin chozi halipaswi kutoka.
 
Amnoni ndiye aliyetafuna umbu wa bro ake?
Wahuni wapo toka zamani.
 
Marahaba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…