Ni jana tu walikuwa wakishangilia kuvamia Israel. Vilio vimeshaanza furaha imetoweka

Ni jana tu walikuwa wakishangilia kuvamia Israel. Vilio vimeshaanza furaha imetoweka

Hapana, hili suluhisho lako ni unattainable. Watu wote hawawezi kua Muslims na hata wakiwa Muslims bado pia wanaweza kupigana kama tunavyoona yemen n.k

To be specific on Palestine and Israel, hawa wayahudi feki lazima waheshimu mipaka na makazi ya Wapalestina.

Hata watumie nguvu gani, hawawezi kua na amani hata wabebwe vipi na USA
Nani kakuambia ni Wayahudi feki?
Una ushahidi?
Wayahudi halisi wako wapi?
 
Nawashangaa watu mnaotemewa mpaka mate kwa ukristo wenu kuwashangalia watu wanaowaona kama mbwa.
Ulivyoongea utadhani hao waarabu wanawapenda, hata hao waarabu wanawaona nyinyi waislam pori ni wa uku bara la giza ni manyani tu na kuwateme mimate mizito iliyochanganyikana na mirungi.. Unapigania watu wasiokutambua kama na wewe ni mtu
 
Mimi ni mkristu ila we jamaa hujui unachoandika.

Eiza huna akili au ni katoto ndio unabalehe.
We dada, kwani nani kakuuliza dini yako??!!.
Ndo maana mnapata mi.mbaa za utotoni kwa sabb ya kiherehere!.
 
Pande zote zinalia maana mpaka sasa vita inaendelea na Israel imesha poteza watu zaidi ya 400 wakati palestina ni 285
 
We dada, kwani nani kakuuliza dini yako??!!.
Ndo maana mnapata mi.mbaa za utotoni kwa sabb ya kiherehere!.
Huna akili na bahati mbaya unanishobokea Mimi ambae situmiagi vinyeo. Tafuta pengine ukakunwe achana na Mimi
 
Nani kakuambia ni Wayahudi feki?
Una ushahidi?
Wayahudi halisi wako wapi?
Sasa mtu amezaliwa vizazi na vizazi yuko Brooklyn USA, leo mjukuu anahamia Israel anampokonya mpalestina nyumba anasema wameahidiwa kwenye Torah.

We ungeachia iyo nyumba kirahisi? Better die in honor, i am strongly against violence but i support the Palestinians efforts to stop this barbaric acts in the name of promised land.
 
Ndo dunia tulikofikia Huku?
Binadamu tunafurahia Anguko na Maumivu ya Binadamu wengine?

Tunafurahia Vifo na Kuteswa kwa Wengine!
Ama kweli yaliyotabiriwa kuhusu Upendo wa Wengi kupoa Sasa ynatimia!
Inasikitisjpha sana Mkuu, nilijua watu wanashabikia michezo kumbe wapo wanaoshabikia vifo vya wengine
 
Sasa mtu amezaliwa vizazi na vizazi yuko Brooklyn USA, leo mjukuu anahamia Israel anampokonya mpalestina nyumba anasema wameahidiwa kwenye Torah.

We ungeachia iyo nyumba kirahisi? Better die in honor, i strongly against violence but i support the Palestinians efforts to stop this barbaric acts in the name of promised land.
Kama ni upande wa ardhi sawa, ila vinasaba vyao vinaonyesha kuwa wametokana na Israeli ya zamani, ukiachana na wale Ashkenazi Jews , Wayahudi wengine wote waliobakia ni halisi na pia kabila la Levi lipo hadi Leo.
 
Kama ni upande wa ardhi sawa, ila vinasaba vyao vinaonyesha kuwa wametokana na Israeli ya zamani, ukiachana na wale Ashkenazi Jews , Wayahudi wengine wote waliobakia ni halisi na pia kabila la Levi lipo hadi Leo.
Na asilimia kubwa ya wale halisi hawakuhama na walikua wanaishi side by side for years,
Shida ilianza walipohamia hawa waliokuepo ulaya
 
Back
Top Bottom