Ni jana tu walikuwa wakishangilia kuvamia Israel. Vilio vimeshaanza furaha imetoweka

Ni jana tu walikuwa wakishangilia kuvamia Israel. Vilio vimeshaanza furaha imetoweka

Eti suluhisho ni wote kuwa waislamu.hii ni akili kweli?yaani wote tuwe kwenye dini ya uongo kama hiyo?angalia maeneo mengi yenye matatizo ni ya waislamu.
Hautakuta hayo, ukiona tatizo kwa EWaislam ujuwe hilo limeletwa na wasio Waislam.
 
Mateso ya Binadamu hayastahiri kufurahiwa.
Wote ni watoto wa Mungu Mwenyezi.
Hata wanaoabudu wasicho kijua ni wake pia.
Wayahudi Wayaishi haya hadi sasa ili wafaulu!
[emoji116][emoji116]
Deuteronomy 19:20-21
[20]Na watakaosalia watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako.

[21]Wala jicho lako lisiwe na huruma; uzima kwa uzima, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa
mkono, mguu kwa mguu.

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Wayahudi Wayaishi haya hadi sasa ili wafaulu!
[emoji116][emoji116]
Deuteronomy 19:20-21
[20]Na watakaosalia watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako.

[21]Wala jicho lako lisiwe na huruma; uzima kwa uzima, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa
mkono, mguu kwa mguu.

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
Siyo ukipigwa la kushoto ugeuze na la kulia?

Kanuni zinabadilika kama kinyonga.
 
Nashauli Wapalestina Wakatwe MBUPU wote....
Hujaanza wewe, hata biblia inasema ukiwa na magovi ya wapalestina unapewa mke kwa wayahudi.

Ushahidi huu hapa:

 
Ajuza tulia ulee wajukuu.... Kauli zako ni Kama za madangulo ya viwanja vya fisi....
Sasa hapo kipi ambacho siyo ukweli? Ukweli unakuuma? Kila nilichoandika kina ushahidi kamili, huwa sikisii, ya kutemewa mate ipo, ya kuitwa mbwa ipo.

Unataka ushahidi?
 
Bila kulindwa na mabwana zao wa USA na Uingereza, hawana ujanja.

Hivi wameshapiga simu kwa mabwana zao kutaka waongezewe nguvu haraka.
Yahudi anaitawala USA!
Clinton alitaka alivue Koti!; chupi YAKE iliyoganda manii ilitolewa mahakamani kama ushahidi

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Ila tuseme ukweli Israeli kapatikana nilikua naangalia hapa aisee mpaka sasa zaidi ya 700 wameshatangulia kwa baba . Naomba tu wale mateka wakina mama na watoto waachiliwe aise.
 
Hujaanza wewe, hata biblia inasema ukiwa na magovi ya wapalestina unapewa mke kwa wayahudi.

Ushahidi huu hapa:

🤔🤔,, Basi tuwaache waendelee kufumuana tu... Wakichoka wataacha.
 
Ukiona binadamu anafurahi kumuona binadamu mwenzake amepata shida basi huyo ni shetani.
Ukiona binadamu anafurahia kuua binadamu mwenzake, kuwateka kisa kumpambania Allah huyo ni mbwa koko na sheitwani anastahili kichapo mujarab. Mungu ibariki Israel, walinde watoto wa Yakobo.
 
Hao ni Yahudi!; wao kwao YESU hawatambui Mafundisho YAKE! Bado wanaiishi Tofari.

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
Kumbe kanuni zenu ni tfauti na mabwana zenu.


Hizo sasa ndiyo sheria Kiislam. Kisasi ni haki.

Siyo nyinyi mnatemewa mpaka mate mpo tu. Wazungu wamewaweza sana mapoyoyo.
 
Hujaanza wewe, hata biblia inasema ukiwa na magovi ya wapalestina unapewa mke kwa wayahudi.

Ushahidi huu hapa:

Kaumu Gani??

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom