Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Sawait is a gas burner not electronic device, sema ni samani tu za nyumbani
Ila kumbuka kuuliza hivi inasaidia wengi sana.
Kama wewe unajua, wengine hawajui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawait is a gas burner not electronic device, sema ni samani tu za nyumbani
sio vibaya kaka kila kitu siku hizi ni professionalsm, wako wataalam wanaojua ulaji wa gas, uimara na sifa nyingine, hatujui woteMkuu hadi manunuzi ya jiko la gesi unakuja kutafuta ushauri?
dah ! bonge la ushauri, pressure cooker sikua na idea nayo ila nitapita kkoo niulizie, haili sana umeme nikawekewa kikao ?? 😁😁Hapo mzee ongezea na Pressure cooker ya umeme (6.8L ni 130k)
Unaweka zako maharagwe, nyama n.k na unaweza kuhamishia kwenye gesi ukaunga. Unasahau shida zote na kama hauna jagi la umeme nunua (25k)
yes yes, hasa vifaa vya umeme muhimu sana kupata ushauri, na hata kwenye maeneo mengine ya kimaisha, unatolewa mpaka ushauri wa kimahusiano itakua haya mambo ya darasani ??Sawa
Ila kumbuka kuuliza hivi inasaidia wengi sana.
Kama wewe unajua, wengine hawajui
Limekufanyaje?Bruhm hapana
Pressure cooker inapika mazagazaga mengi, maharagwe, njugu, mihogo, wali, makande, samaki, nyama n.k ila rice cooker inapika wali tu.dah ! bonge la ushauri, pressure cooker sikua na idea nayo ila nitapita kkoo niulizie, haili sana umeme nikawekewa kikao ?? 😁😁
Nilikua na tv mpya,ikaweka mstari ,katika kupeleleza nikaambiwa bidhaa zao magumashi..Limekufanyaje?
nashukuru sana chief, nitaenda na nikai, nina bajeti ya 150kWest point
Nikai
Kenwood
Top three...iwe jiko, rice cooker, pressure cooker, air frier, blender.
Kaa humo kama.hela sio tatizo.
Hizi zote zina official warranty sio ile ya mapichapicha.
Maybe kwenye Tv. Nina jiko lao kubwa naona matumizi ya gas liko slow & muonekano mzuri sana. ingawa sio mpishi wa kila siku, ila mtungi mdogo namaliza nao 3months.Nilikua na tv mpya,ikaweka mstari ,katika kupeleleza nikaambiwa bidhaa zao magumashi..
Usichukue la bati. Linazeeka vibaya mnonashukuru sana chief, nitaenda na nikai, nina bajeti ya 150k
ndio maana tunakuja kwny platform kama hizi kuchukua madini, well put, well received !! 💯Pressure cooker inapika mazagazaga mengi, maharagwe, njugu, mihogo, wali, makande, samaki, nyama n.k ila rice cooker inapika wali tu.
ooh ! nitachek la kioo, hope litakua ndani ya bajetiUsichukue la bati. Linazeeka vibaya mno
mimi nasema chukua la bati, kwa Nikai halizeekiooh ! nitachek la kioo, hope litakua ndani ya bajeti
Hah sifa zote hizo kwa Sundar hii hii mkuu?? Vizuri hupendi heka heka za mziki mkubwa..watu tushafunga equalizer, amplifier,speaker kubwa,na sound proof juu,nyumba ya kupangaMaybe kwenye Tv. Nina jiko lao kubwa naona matumizi ya gas liko slow & muonekano mzuri sana. ingawa sio mpishi wa kila siku, ila mtungi mdogo namaliza nao 3months.
Iliweka mstari kwanini? Mf mimi hisense ukiniuliza kitu chao kizuri. Naona ni microwave na friji. Tv kawaida tu
Kuna hawa sunder… nina kisabufa chao tokea 2020 nilichukuaga kwa 120K. Kina base nzuri, hakina kelele, sjui kilikuwaga OG. Ila hao hao sunder, siwezi kuchukua Tv yao sbb kwenye radio wamenifurahisha.
Serious. Ni hiyo hiyo… sjui sasa za miaka hii ya 24,23,22… Nimeconnect na Tv… naona iko tu na utulivu, na sauti uwa naishia 35, base 30. Sijawahi fika sauti yake Max ya 60.Hah sifa zote hizo kwa Sundar hii hii mkuu?? Vizuri hupendi heka heka za mziki mkubwa..watu tushafunga equalizer, amplifier,speaker kubwa,na sound proof juu,nyumba ya kupanga
Hupiki eee… mimi kuna sehemu nililionamimi nasema chukua la bati, kwa Nikai halizeeki
mwaka wa nne huu kama nimenunua jana
👏👏👏👏👏Hah sifa zote hizo kwa Sundar hii hii mkuu?? Vizuri hupendi heka heka za mziki mkubwa..watu tushafunga equalizer, amplifier,speaker kubwa,na sound proof juu,nyumba ya kupanga
duh ! bas nikai ndo best, either la glass au stainless stilmimi nasema chukua la bati, kwa Nikai halizeeki
mwaka wa nne huu kama nimenunua jana
😁😁😁😁😁 wapi hukoHah sifa zote hizo kwa Sundar hii hii mkuu?? Vizuri hupendi heka heka za mziki mkubwa..watu tushafunga equalizer, amplifier,speaker kubwa,na sound proof juu,nyumba ya kupanga