deejaywillzz
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 637
- 224
Habari wakuu.
Nataka nifanye ubunifu wa kutengeneza majiko ya plate na kukaangia chips ambayo yanabana matumizi. Lakini kabla ya hayo nataka nijue kati ya Gesi na Mkaa katika matumizi ni ipi inabana matumizi.
Nataka nifanye ubunifu wa kutengeneza majiko ya plate na kukaangia chips ambayo yanabana matumizi. Lakini kabla ya hayo nataka nijue kati ya Gesi na Mkaa katika matumizi ni ipi inabana matumizi.