ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,120
- 5,352
Bora gesi Mara mia ni cheap kuliko mkaa kwa Dar
BEI YA MKAA KWA GUNIA;
Dar - 45000
Dodoma - 40000
Mbeya - 25000
Mpanda - 15000
kuna maeneo wanaona mkaa ndio nafuu sana...
kuishi mjini nako gharama...