Ni jiko gani lina gharama zaidi kwenye matumizi kati ya la gesi na la mkaa?

Ni jiko gani lina gharama zaidi kwenye matumizi kati ya la gesi na la mkaa?

Kwa fikra za harakaharaka uko sawa ila tukienda kwenye takwimu, mkaa ni hatari kuriko gasi, jiulize ni matukio mangapi ya nyumba kuungua kwa mkaa??? na je gasi??
 
Kwa familia ni bora ya kuwa na vyote gas + mkaa,but bachelors gas ni best option ,kwa biashara mkaa ni best option
Gas-iko fast,haichafui vyombo,ni rahisi kumage matumizi tatizo sio ya kuisha hutajua
Mkaa-kupikia vitu vigumu kama maharage/kande,kuchemsha maji ya kuoga kwa watoto
 
Gas ni matumizi tu, home tumenunua gas ya kg 30 tumetumia miezi 7, imeisha leo.
 
Jamani bei ya 15kg ni Tshs 45,000/= hapa DSM. Pia mimi natumia mkaa na gesi kwa matumizi tofauti naona vikiwa pamoja kuna unafuu mkubwa sana. Chai, uji wa mtoto, maji yakuoga ukiwasha mkaa inakula kwako kwani unatumia chinin ya asiliamia 50 ya nishati inayozalishwa lkn gesi unatumia 100% na hivyo kusave. Ukipika mboga ya shule ama makande kwenye gesi inakula kwako.

Kuna mtu kaongelea usalama, kwa kweli gesi ya sasa ni tofauti na zamani kwani kuna jerry (panya) alikula lile pipe la kupeleleka gesi kwenye jiko nikasikia harufu kali na kutafuta chanzo na kurekebisha ingekuwa ile ya zamani nafikiri tungeongea mengine sasa kwani ilichukua muda kugundua.

Gesi mpango mzima, familia yangu ni ya watu wanne ila natumia Gesi ya Kg 15 miezi minne
 
Jamani bei ya 15kg ni Tshs 45,000/= hapa DSM. Pia mimi natumia mkaa na gesi kwa matumizi tofauti naona vikiwa pamoja kuna unafuu mkubwa sana. Chai, uji wa mtoto, maji yakuoga ukiwasha mkaa inakula kwako kwani unatumia chinin ya asiliamia 50 ya nishati inayozalishwa lkn gesi unatumia 100% na hivyo kusave. Ukipika mboga ya shule ama makande kwenye gesi inakula kwako.

Kuna mtu kaongelea usalama, kwa kweli gesi ya sasa ni tofauti na zamani kwani kuna jerry (panya) alikula lile pipe la kupeleleka gesi kwenye jiko nikasikia harufu kali na kutafuta chanzo na kurekebisha ingekuwa ile ya zamani nafikiri tungeongea mengine sasa kwani ilichukua muda kugundua.

Hapo red.... nimejikuta natetemeka kwa hofu. Mungu apitishe mbali.
 
Gesi ni nzuri zaidi,na ukitaka ikae sana nunua na pressure cooker.hapo hutahitaji mkaa
 
Mbona sioni watu wakitaja majiko ya umeme?
Hahahaaaa
 
Gesi ipo Poa hata usiku wa manane unapika chapchap sio mambo ya kuwasha sijui kwa kutumia vijiti lambo mimoshi chungu nzima khaaa!!!
 
Mm niko mwenyewe home...huwa natumia ges 30 kg...kwa miez kumi na mbili....maharage na nyama nanunuaga kwa jumla nachemsha kwenye mkaa wa buku vyote then naweka kwenye jokofu...nikitaka napasha kisela na ges ...hi yo ges iko poa sana
 
Hapo red.... nimejikuta natetemeka kwa hofu. Mungu apitishe mbali.

Sasa hivi na - "disconnect" kwenye mtungi kabla ya kulala naangalia kama wamefanya hivyo kwani nimeishatoa maelezo
 
Sasa hivi na - "disconnect" kwenye mtungi kabla ya kulala naangalia kama wamefanya hivyo kwani nimeishatoa maelezo

Inasaidia chochote kama joto likizidi na mtungi ukalipuka???
 
gas ni nafuu zaidi mimi nina familia na naitumia kupika almost kila kitu. Kwa vitu vigumu natumia pressure cooker. Mkaa ni gharama...pesa, muda, moshi etc
 
Mbona sioni watu wakitaja majiko ya umeme?
Hahahaaaa

gharama zenyewe za umeme zilivyopanda si ni kutafuta umaskini tu.... shida nyingine haya yanawahibika kirahisi sana, ni mazito, na delicate...
 
Sasa hivi na - "disconnect" kwenye mtungi kabla ya kulala naangalia kama wamefanya hivyo kwani nimeishatoa maelezo

hiyo disconnection kila siku nayo ni hatari sana:
* ile pipe inaweza kutanuka kirahisi mwisho wa siku gas itakuwa inavuja.
* si kila siku asubuhi ni wewe utakaye connect pipe so siku haupo mtu mwingine anaweza akaconnect vibaya gas ikawa inavuja.
 
Gas ni nafuu sana, pia hurahisisha kazi na kuokoa muda.

Gas ni nafuu sana.
 
Back
Top Bottom