deejaywillzz
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 637
- 224
Jiko la mkaa ni gharama nafuu ukilinganisha na gesi,gunia la elfu 40 unaweza kupikia hata mwezi mzima lakini gesi thubutu.
Habari wakuu, nataka nifanye ubunifu wa kutengeneza majiko ya plate na kukaangia chips ambayo yanabana matumizi. Lakini kabla ya hayo nataka nijue kati ya Gesi na Mkaa katika matumizi ni ipi inabana matumizi.
Habari wakuu.
Nataka nifanye ubunifu wa kutengeneza majiko ya plate na kukaangia chips ambayo yanabana matumizi. Lakini kabla ya hayo nataka nijue kati ya Gesi na Mkaa katika matumizi ni ipi inabana matumizi.
Unafuu inategemea na mahali ulipo, kuna maeneo mkaa gunia ni sh 10,000/= lakini maeneo mengine zaidi ya 40,000/= sasa lazima ufanye consideration ya eneo kabla ya kutoa jibu
inategemea na matumiz mi ges natumia miez mnne kasoro nipo pekeangu na napka sana had maji ya kuoga huchemsha.
sijajua mkaa nikiwa pekeangu.
ila ges expres differ na mkaa
Gunia la Mkaa Dar lile la Lumbesa ni elfu 70
Ukitaka kuenjoy kuwa na vyote gas na mkaa mfano,
mim natumia gas ya kg15 kwa miez5 hasa kwnye chai,mazwa na uji wa mtoto,kupasha chakula na maji ya kuoga
mkaa nautumia kwnye vitu vigumu kama maraga,makande,wali,nyama etc
so unakta kwa huk kijijn mkaa wa 7,000/= unakaa mwez mzima na gas inaweza kusarvive kwa 5months,
karibuni sana kigoma,
Gesi ni nafuu zaidi kwani lina save muda,lakini pia bei ya gesi na mkaa havitofautiani sana
Gas mtungi sh 50 elfu mpaka 60, gas is the best, haichafui nyumba na ni cheap, mambo ya mkaa labda akiba tu kwa ajili ya maharage na vitu vigumu
Mkuu inategemea na jinsi maisha uayoishi. Kwangu gesi 15 kg natumia siku 40. Ikipikwa mboga ya Taifa nanunua mkaa wa buku. Gesi bei ni elfu 50 mitaa yetu. Maisha yana kwenda. Tengeneza jiko nafuu la gesi sio mkaa. Mkaa unaharibu mzingira.