Ni jina gani la "classmate" wako ukilikumbuka linakuvunja mbavu

Kamtande K.Kamtande
Nyamlola Majani
Alidhani Kisenge
Makungu Yahoja
Asajile Mwambandile
Asumwisye Mwambije Fundi
 
Namkumbuka mshikaji ULIMBOKA MWAKUBOMBAKI jina lake halijanitoka japo ni kitambo sasa tangu 1996
 
1. Balozi Balozi,
2. Chande S. Chande.
3. Leparakwo Nyangusi.
4. Tabaruku Rashidi
5. Siwajibu Siwazuri
6. Semeni Sina

** Hawa jamaa Na.1 - 4 walikuwa wacheshi sana ukichanganya na majina yao walikuwa wanang'oa mademu kama "mashetani" vile. Enzi hizo sisi wengine achilia kuttonngoza hata "kukojoa" tulikuwa hatujui maana yake. Mi nikawa nafikiri ni ile NJE-NJE-NDANI!
 
Christina Tla Tla, Mnkande Kutiana Shembillu, Kuambiana S. Kuambiana.
 
Stella Tindabatangile Dodoma Sec. School - 1995
 
Zitto kabwe Enzi anasoma alikuwa kituko sana jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…