Ni jina gani la "classmate" wako ukilikumbuka linakuvunja mbavu

Ni jina gani la "classmate" wako ukilikumbuka linakuvunja mbavu

Tupia hapa nasi tuongeze siku kwa kucheka

CHALE huyu jamaa ilifika mpaka walimu walikua hampigi bakora kutokana na visa vyake

Kuna siku mwalimu alitangaza kesho atakaechewa shule aandike ameumia, basi siku ya pili alikuja saa moja nanusu halafu kwenye shati lake mgongoni akaandika NIMEUMIA, alipelekwa ofisini walimu wote walicheka, dah huyu jamaa alikua noma sijui hata saivi yuko. Nimemkoma tulipokua primary


Jina lake halisi ni Khamis Kassim
 
Ndahani
Mavunde, Mang'enya Mbwelwa hawa tulikuwa nao Tosamaganga. Shule ya
msingi pale sabasaba shule ya msingi mkoani Iringa kuna jamaa siwezi
kumsahau alikuwa anaitwa Msafiri Kikoti alikuwa anatokea mitaa ya
kihesa, huyo jamaa alikuwa anajamba sana, alikuwa na utaalamu wa hali ya
juu wa kujamba, alikuwa anaishi na bibi yake, itaonekana ni jambo la kitoto lakini nakuambia ukweli sijawahi kuona mjambaji mzuri kama msafiri, alikuwa anajamba kwa namna ya kipekee sana. ingawa kijambo chake kilikuwa kinatoa harufu mbaya sana lakini style aliyokuwa anatumia kujamba lazima ucheke. Sijui atakuwa wapi huyu jamaa
 
MSALIZI KALABABA......jamaa nilisoma nae shule ya msingi Mwananyamala B!nahisi alikuwa kanipita miaka kama 15 hivi!lol!
 
Ndahani
Mavunde, Mang'enya Mbwelwa hawa tulikuwa nao Tosamaganga. Shule ya
msingi pale sabasaba shule ya msingi mkoani Iringa kuna jamaa siwezi
kumsahau alikuwa anaitwa Msafiri Kikoti alikuwa anatokea mitaa ya
kihesa, huyo jamaa alikuwa anajamba sana, alikuwa na utaalamu wa hali ya
juu wa kujamba, alikuwa anaishi na bibi yake, itaonekana ni jambo la kitoto lakini nakuambia ukweli sijawahi kuona mjambaji mzuri kama msafiri, alikuwa anajamba kwa namna ya kipekee sana. ingawa kijambo chake kilikuwa kinatoa harufu mbaya sana lakini style aliyokuwa anatumia kujamba lazima ucheke. Sijui atakuwa wapi huyu jamaa

Hahahahahahahahahahahahahahaha..............
 
..

....Masemba Msanda Magaka.... Shybush ...dadek alishikilia rekodi kuwa mtu wa kwanza form one mpaka form two kuwa wa kwanza kutinga bwaloni mpindi likipondwa !!!
 
Frnd of myn ,Joseph mboro azania high xul, my xulmate magoigwa Mahaba mara sec,na jamaa moja 2likuwa naye azaboy anaitwa pasence henry a.k.a kipande alikuwa na fix ile mbaya af anachekesha k'nyama
 
Back
Top Bottom