Ni jina gani la "classmate" wako ukilikumbuka linakuvunja mbavu

MANYWELE!kuna jamaa nilisoma nae chuo.chanuo kwake ilikuwa ni chui na paka!!!
 
Nyongeko Nyandui na Nyabweke Nyamakato
Krismas Noeli pia!
 
Nilisoma na jamaa anaitwa Mbaraka Mbupu....tulikuwa twamtania sana jina lake la pili.
Rest In Peace bro
 
frnd of myn ,joseph mboro azania high xul, my xulmate magoigwa mahaba mara sec,na jamaa moja 2likuwa naye azaboy anaitwa pasence henry a.k.a kipande alikuwa na fix ile mbaya af anachekesha k'nyama

ok, ok
 
1.atuganile mwamboneke
2.nywina mgobassa
3. Nyawanta francis nchama ntenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…